Waziri wa vita Marekani: uvamizi wa Iran umetugharimu dola bilioni 25 mpaka sasa
Pentagon imetangaza kwa mara ya kwanza kuwa vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu takriban dola bilioni 25 hadi sasa.Takwimu za awali zilionyesha kuwa Marekani ilikuwa imetumia takriban dola bilioni…
Trump ashindwa na mchezaji Snuka wa Iran
Hossein Vafaei wa Iran amepata ushindi muhimu baada ya kumshinda Judd Trump, anayeshika nafasi ya kwanza duniani katika mchezo wa snuka. Katika pambano lililodumu kwa raundi tatu, Vafaei alifanikiwa kumtungua…
Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini Zaibua Wasiwasi Mpya kwa Marekani
Nguvu ya Nyuklia Yaongezeka: Korea Kaskazini Yakaribia Kuvunja Kinga ya Marekani
Zelensky aishambulia Israel kwa kununua nafaka “iliyoibwa Ukraine”
Kyiv — Serikali ya Ukraine imemwita balozi wa Israel nchini humo kutoa malalamiko rasmi kuhusu usafirishaji wa nafaka ambayo Ukraine inadai iliibwa kutoka maeneo ya nchi hiyo yaliyo chini ya…
Wanachama Watatu wa Civil Defense Wauawa Katika Shambulio la Israel Kusini mwa Lebanon
Civil Defense ya Lebanon imetangaza kuuawa kwa wanachama wake watatu wakati wakifanya operesheni ya uokoaji baada ya shambulio la anga la Israel kugonga jengo katika eneo la Majdal Zoun, wilaya…
Trump amvaa kansela wa Ujerumani baada ya kiongozi huyo kusema Marekani imedhalilishwa na Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran. kufuatia kauli hiyo Rais…
Israel Inafanya “Mauaji ya Mazingira” nchini Lebanon kwa Gharama ya Jumla ya Dola Bilioni 25
Wizara ya Mazingira ya Lebanon inasema kuwa Israel inafanya “mauaji ya mazingira” kusini mwa Lebanon, kulingana na ripoti mpya inayofafanua uharibifu mkubwa wa ikolojia wakati wa uvamizi wa 2023–2024.Ripoti hiyo…
Marabi (viongozi) wa Kiyahudi wa mrengo wa kisasa nchini Uingereza Waonya kuwa Mwelekeo wa Sasa wa Israel Unaweza Kudhoofisha Maadili na Utambulisho wa Kiyahudi
Marabi wakuu wa Kiyahudi wa mrengo wa maendeleo nchini Uingereza wameonya kuwa mwelekeo wa sasa wa kisiasa wa Israel unawakilisha tishio kubwa kwa maadili na utambulisho wa Kiyahudi, wakisisitiza kuwa…
Viongozi wa chama cha Trump “Republicans” wamtaka kumaliza vita vya Iran kabla ya uchaguzi
Washington – Rais wa Marekani, Donald Trump, anafahamu kikamilifu athari za kisiasa ambazo vita vimeleta kwake na kwa chama chake, kwa mujibu wa vyanzo vitatu vinavyofahamu mashauriano ya hivi karibuni…
“Mwisho wa mgawanyiko”: Bennett na Lapid waungana rasmi kumbwaga Netanyahu
Waziri wakuu wa zamani wa Israel, Naftali Bennett na Yair Lapid, wametangaza kuunganisha rasmi vyama vyao na kuunda tiketi ya pamoja ya kisiasa itakayojulikana kama “Pamoja – Ikiongozwa na Naftali…