Drake Aonekana Kumkosoa DJ Khaled kwa Kukaa Kimya Kuhusu Palestina.
Rapa maarufu wa Kanada, Drake, anaonekana kumkosoa rapa na mtayarishaji mwenye asili ya Kipalestina, DJ Khaled, kwa kukosa kuonyesha wazi uungwaji mkono wake kwa Palestina. Ukosoaji huo unaonekana katika wimbo…
“Kwa Nini Mataifa ya Nje Yaingilie Mlango wa Hormuz?” – Mélenchon Aibua Mjadala Kuhusu Haki ya Iran Kujilinda
Mgombea wa urais wa Ufaransa Jean‑Luc Mélenchon ametoa maoni yake kuhusu Iran na Mlango wa Hormuz. Mélenchon alisema kuwa nchi inapojilinda ina haki ya kutumia mbinu mbalimbali za ulinzi. Alisema…
“Mwisho wa Karne ya Marekani”: Mgombea urais Ufaransa Atabiri Kuanguka kwa Utawala wa Dola
Mgombea wa urais wa Ufaransa Jean‑Luc Mélenchon amesema kuwa migogoro ya sasa ya kimataifa inaweza kuashiria mwisho wa kile alichokiita “karne ya Marekani”. wAkizungumzia nafasi ya Marekani katika mfumo wa…
Trump Akabiliwa na Uamuzi Mgumu Kuhusu Iran Baada ya Ziara ya China, Mipango ya Kijeshi Yajadiliwa.
Rais wa Marekani, Donald Trump, amerejea kutoka ziara yake nchini China huku akikabiliwa na maamuzi muhimu kuhusu hali ya mvutano na Iran. Kwa mujibu wa gazeti la The New York…
Trump: Si lazima kuchukua ‘vumbi la nyuklia’ la Iran
Trump asema kuchukua nyenzo za nyuklia za Iran si jambo la lazima 🔹Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa kuchukua nyenzo za nyuklia za Iran si lazima. Kauli hiyo aliitoa…
Kenya yaomba kiti cha kudumu kwenye Baraza la UN
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja…
Je silaha za Marekani zilizokamtwa na jeshi la Iran zinafanywaje?
https://youtube.com/shorts/cQJW-kmracM?feature=share
Hofu ya Udukuzi: Ujumbe wa Marekani Watupa Zawadi za China Jalalani Kabla ya Kupanda Air Force One
BEIJING: Katika kile kinachoonekana kama hatua kali za kiusalama, wajumbe wa Marekani wameripotiwa kutupa zawadi zote walizopewa na wenyeji wao nchini China kabla ya kupanda ndege ya Rais, Air Force…
Ushirikiano kati ya Iran na China wazidi kuimarika licha ya safari ya Trump
Ushirikiano kati ya Iran na China umeendelea kuimarika huku mataifa hayo mawili yakikabili mazingira ya migogoro katika eneo na changamoto za kimataifa. Wachambuzi wanaueleza mwenendo huu kama chanya na unaotarajiwa…
Mwanadiplomasia wa Zamani wa Marekani: “Wairani Hawawezi Kusalimishwa kwa Mabomu”
Mwanadiplomasia wa zamani wa Marekani, Ryan Crocker, ameikosoa kauli ya rais wa Marekani Donald Trump kuhusu “Iran kujisalimisha,” akiiita kauli hiyo kuwa ya kuchekesha. Crocker, ambaye aliwahi kuwa balozi wa…