Mgogoro Mkubwa wa Umeme Cuba Baada ya Nchi Kuishiwa Dizeli na Mafuta Mazito ya Kuwasha (Oil).
Cuba imekumbwa na mgogoro mkubwa wa umeme baada ya serikali kutangaza kuwa nchi imeishiwa kabisa na dizeli pamoja na mafuta mazito ya kuwasha. Hali hiyo imeelezwa kuwa miongoni mwa migogoro…
Israel Yaashiria Uwezekano wa Kuanza Tena Hatua za Kijeshi Dhidi ya Iran.
Israel inaamini kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anaweza kufanya uamuzi kuhusu kurejesha operesheni za kijeshi dhidi ya Iran mara baada ya kumaliza ziara yake nchini China, kwa mujibu wa…
Poland Yasajili Rasmi Ndoa ya Kwanza ya Watu wa Jinsia Moja.
Poland siku ya Alhamisi imeandika historia kwa kusajili rasmi ndoa yake ya kwanza ya watu wa jinsia moja, kufuatia maamuzi ya mahakama za Poland na Umoja wa Ulaya yaliyoagiza kutambuliwa…
Marekani Yapanga Kufuta Mashtaka Dhidi ya Bilionea wa India Gautam Adani.
Wizara ya Sheria ya Marekani inaripotiwa kuandaa hatua ya kuondoa mashtaka ya udanganyifu dhidi ya bilionea wa India, Gautam Adani, hatua ambayo inaweza kuhitimisha rasmi kesi ya jinai iliyofunguliwa wakati…
Rubio aitaka China kuongeza juhudi katika suala la Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ameomba China kutumia ushawishi wake kumsaidia Marekani kutafuta suluhu ya mgogoro wa Iran, ikiwemo kuishinikiza Tehran kufungulia Mlango wa Hormuz na…
Mbunge wa Marekani afichua hasara ya ndege 39 katika vita dhidi ya Iran
WASHINGTON — Mbunge wa Marekani kutoka Chama cha Democratic, Ed Case, amesema kuwa jeshi la Marekani lilipoteza angalau ndege 39 wakati wa vita vya siku 40 vilivyohusisha Marekani na Israel…
Lewandowski Aweka Hatma yake Barça Rehani, Fc Porto Waingia kwenye Mbio za Usajili.
Ripoti mpya kutoka Hispania zinaeleza kuwa mshambuliaji nyota Robert Lewandowski huenda akaondoka FC Barcelona katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi. Inaelezwa kuwa nyota huyo wa Poland amepoteza…
Hasara ya kila wiki ya dola milioni 60 kwa kampuni ya Kijerumani kutokana na mgogoro wa Hormuz
Kampuni ya Kijerumani yapata hasara ya dola milioni 60 kwa wiki kutokana na mgogoro wa Hormuz 🔹Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya usafirishaji ya Kijerumani, Hapag-Lloyd, amesema kuwa kuendelea kwa mgogoro…
Pezeshkian Ahamasisha Wachezaji wa Iran Kung’ara Kombe la Dunia.
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametembelea kambi ya timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya kuondoka kuelekea Kombe la Dunia, akiwahimiza wachezaji na benchi la ufundi…
SIRI NZITO WHITE HOUSE: Trump Aacha maagizo ya Siri kwa Makamu Wake Kutumika Iwapo Atauawa
Rais wa Marekani Donald Trump ameripotiwa kuandika barua ya siri ambayo itatumika iwapo atafariki dunia au kuuawa. Taarifa hii imevutia umakini wa vyombo vya habari wakati Trump akiwa ameanza safari…