Ripoti: Wanajeshi wa Gen Z Korea Kusini Wafanya Upasuaji wa Urembo Wakati wa Likizo.
Wanajeshi vijana wa Korea Kusini wanaofanya huduma ya lazima ya kijeshi wanaripotiwa kuongezeka kufanyiwa upasuaji wa urembo wakati wa likizo zao, hasa upasuaji wa kurekebisha pua (rhinoplasty) na ule wa…
Je, maandishi ya Trump yanamaanisha kuanza upya kwa vita?
Donald Trump amechapisha picha yenye ujumbe: “It Was The Calm Before the Storm” (Ilikuwa Utulivu Kabla ya Dhoruba) kwenye Truth Social. Picha inaonyesha Trump akiwa amevalia kofia ya MAGA, akisimama…
Mpangilio Mpya wa Kimataifa: Spika wa Iran Asema Mustakabali wa Dunia haipo tena Marekani
Spika wa Bunge la Iran, Baqir Ghalibaf, amesema dunia iko katika hatua ya kuingia katika mpangilio mpya wa kimataifa. Akinukuu kauli ya Rais wa China, Xi Jinping, Ghalibaf alisema kuwa…
Ufaransa imefungua rasmi uchunguzi kuhusu mauaji ya mwanahabari Jamal khashoggi
Ufaransa imeanzisha rasmi uchunguzi wa kisheria kuhusu mauaji ya mwaka 2018 ya mwanahabari Jamal Khashoggi, uchunguzi unaomlenga Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, jaji…
China yaendelea kushikilia msimamo wake kuhusu Iran licha ya ziara ya Trump.
Ripoti ya Al-Monitor inaeleza kuwa ziara ya Donald Trump nchini China haikuleta mafanikio yoyote ya maana katika suala la Iran. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, China bado inaendelea kuwa mnunuzi…
Ulaya Yakabiliwa na Mgogoro wa Upungufu wa Dawa Baada ya Vita vya Iran.
Ripoti mpya iliyochapishwa na gazeti la La Tribune la Ufaransa imeonya kuhusu hatari ya upungufu wa dawa barani Ulaya, hali inayohusishwa na kuvurugika kwa mnyororo wa usambazaji wa sekta ya…
Trump ashangazwa na Taarifa za kijasusi za Marekani kuhusu makombora ya chini ya ardhi ya Iran
Taarifa mpya za kijasusi za Marekani zimeeleza kuwa uwezo wa makombora ya chini ya ardhi wa Iran ni mkubwa na tata zaidi kuliko ilivyokadiriwa hapo awali. Kwa mujibu wa ripoti…
India na UAE Zasaini Mikataba Mpya ya Ulinzi na Nishati Wakati wa Ziara ya Narendra Modi.
Serikali za India na Falme za Kiarabu (UAE) zimesaini mikataba mipya inayohusu ulinzi na usambazaji wa mafuta ya petroli wakati wa ziara ya kiserikali ya Waziri Mkuu wa India, Narendra…
Blinken: Chaguo la kijeshi dhidi ya Iran halikuwa suluhisho boraw
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken, amesema kuwa kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Iran ni chagua la makosa, licha ya mjadala uliokuwepo kuhusu hatua…
Baada ya Trump; Putin kuzuru China wiki ijayo – je China ndiye mkuu mpya?
Rais wa Urusi Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara nchini China wiki ijayo. Hayo yameripotiwa Ijumaa na gazeti la South China Morning Post likinukuu vyanzo vinavyofahamu maandalizi ya safari hiyo. Kwa…