Skip to content
  • Sun. Aug 2nd, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa” Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi Utafiti wa TIFA Wafichua Dilema ya Gachagua, Ruto Aongoza Huku Upinzani Ukisaka Umoja
KIMATAIFA

Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel

July 25, 2026
KIMATAIFA

Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz

July 25, 2026
MASHARIKI YA KATI

Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”

July 25, 2026
MASHARIKI YA KATI

Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi

July 25, 2026
Uncategorized

Utafiti wa TIFA Wafichua Dilema ya Gachagua, Ruto Aongoza Huku Upinzani Ukisaka Umoja

July 25, 2026
  • Hivi punde
  • Maarufu
  • Afrika
Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel
KIMATAIFA
Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel
Marekani ashindwa, aungana na Uingereza  kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz
KIMATAIFA
Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz
Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”
MASHARIKI YA KATI
Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”
Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi
MASHARIKI YA KATI
Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
MASHARIKI YA KATI
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
UAE yaomba mazungumzo yarejee na mashambulizi ya miundombinu yakome
MASHARIKI YA KATI
UAE yaomba mazungumzo yarejee na mashambulizi ya miundombinu yakome
Medvedev: Malumbano ya Marekani na Ulaya ni ushindi mkubwa kwa Urusi
KIMATAIFA
Medvedev: Malumbano ya Marekani na Ulaya ni ushindi mkubwa kwa Urusi
Kenya na Uganda Kuwekeza Tanzania
AFRIKA
Kenya na Uganda Kuwekeza Tanzania
Maharamia wa Somalia waiteka meli yenye bendera ya Tanzania Ghuba ya Aden
AFRIKA
Maharamia wa Somalia waiteka meli yenye bendera ya Tanzania Ghuba ya Aden
Wasira aiweka sawa Jumuiya ya Madola: “Tanzania haisubiri kuamrishwa”
AFRIKA
Wasira aiweka sawa Jumuiya ya Madola: “Tanzania haisubiri kuamrishwa”
Pigo kwa UDA: DCP Yashinda Uchaguzi Mdogo wa Ol Kalou
AFRIKA
Pigo kwa UDA: DCP Yashinda Uchaguzi Mdogo wa Ol Kalou
Afrika Kusini Yakanusha Kutengwa Barani Afrika Baada ya Maandamano Dhidi ya Wahamiaji
AFRIKA
Afrika Kusini Yakanusha Kutengwa Barani Afrika Baada ya Maandamano Dhidi ya Wahamiaji
KIMATAIFA

Ripoti: Wanajeshi wa Gen Z Korea Kusini Wafanya Upasuaji wa Urembo Wakati wa Likizo.

May 17, 2026

Wanajeshi vijana wa Korea Kusini wanaofanya huduma ya lazima ya kijeshi wanaripotiwa kuongezeka kufanyiwa upasuaji wa urembo wakati wa likizo zao, hasa upasuaji wa kurekebisha pua (rhinoplasty) na ule wa…

KIMATAIFA

Je, maandishi ya Trump yanamaanisha kuanza upya kwa vita?

May 17, 2026

Donald Trump amechapisha picha yenye ujumbe: “It Was The Calm Before the Storm” (Ilikuwa Utulivu Kabla ya Dhoruba) kwenye Truth Social. Picha inaonyesha Trump akiwa amevalia kofia ya MAGA, akisimama…

MASHARIKI YA KATI

Mpangilio Mpya wa Kimataifa: Spika wa Iran Asema Mustakabali wa Dunia haipo tena Marekani

May 17, 2026

Spika wa Bunge la Iran, Baqir Ghalibaf, amesema dunia iko katika hatua ya kuingia katika mpangilio mpya wa kimataifa. Akinukuu kauli ya Rais wa China, Xi Jinping, Ghalibaf alisema kuwa…

Uncategorized

Ufaransa imefungua rasmi uchunguzi kuhusu mauaji ya mwanahabari Jamal khashoggi

May 17, 2026

Ufaransa imeanzisha rasmi uchunguzi wa kisheria kuhusu mauaji ya mwaka 2018 ya mwanahabari Jamal Khashoggi, uchunguzi unaomlenga Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, jaji…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

China yaendelea kushikilia msimamo wake kuhusu Iran licha ya ziara ya Trump.

May 16, 2026

Ripoti ya Al-Monitor inaeleza kuwa ziara ya Donald Trump nchini China haikuleta mafanikio yoyote ya maana katika suala la Iran. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, China bado inaendelea kuwa mnunuzi…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Ulaya Yakabiliwa na Mgogoro wa Upungufu wa Dawa Baada ya Vita vya Iran.

May 16, 2026

Ripoti mpya iliyochapishwa na gazeti la La Tribune la Ufaransa imeonya kuhusu hatari ya upungufu wa dawa barani Ulaya, hali inayohusishwa na kuvurugika kwa mnyororo wa usambazaji wa sekta ya…

KIMATAIFA

Trump ashangazwa na Taarifa za kijasusi za Marekani kuhusu makombora ya chini ya ardhi ya Iran

May 16, 2026

Taarifa mpya za kijasusi za Marekani zimeeleza kuwa uwezo wa makombora ya chini ya ardhi wa Iran ni mkubwa na tata zaidi kuliko ilivyokadiriwa hapo awali. Kwa mujibu wa ripoti…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

India na UAE Zasaini Mikataba Mpya ya Ulinzi na Nishati Wakati wa Ziara ya Narendra Modi.

May 16, 2026

Serikali za India na Falme za Kiarabu (UAE) zimesaini mikataba mipya inayohusu ulinzi na usambazaji wa mafuta ya petroli wakati wa ziara ya kiserikali ya Waziri Mkuu wa India, Narendra…

KIMATAIFA

Blinken: Chaguo la kijeshi dhidi ya Iran halikuwa suluhisho boraw

May 16, 2026

Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken, amesema kuwa kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Iran ni chagua la makosa, licha ya mjadala uliokuwepo kuhusu hatua…

KIMATAIFA

Baada ya Trump; Putin kuzuru China wiki ijayo – je China ndiye mkuu mpya?

May 16, 2026

Rais wa Urusi Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara nchini China wiki ijayo. Hayo yameripotiwa Ijumaa na gazeti la South China Morning Post likinukuu vyanzo vinavyofahamu maandalizi ya safari hiyo. Kwa…

Posts pagination

1 … 37 38 39 … 56

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.