Iran Yasema Iko Tayari Kukabiliana na Uchokozi Wowote Mpya.
Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kikamilifu kukabiliana na shambulio lolote jipya linaloweza kufanywa dhidi ya Iran na Marekani au Israel. Akizungumza kando ya…
Mwanaharakati Fransis Awino amefungua kesi ili kupinga ongezeko la bei ya mafuta
Mwanaharakati Francis Awino amefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Nairobi kupinga ongezeko la hivi karibuni la bei ya mafuta lililotangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA) tarehe 14…
James Orengo: Niko tayari kukabiliana na Ruto katika uchaguzi wa mwaka 2027
Gavana wa Siaya, James Orengo, ametangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, hatua inayotafsiriwa na wachambuzi kama mwanzo wa mapambano makali dhidi ya Rais William Ruto.Tangazo…
Droni ya Marekani “MQ-9 Reaper” yadunguliwa mkoani Marib, Yemen
Yemen wadai kuitungua droni ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper katika eneo la Safer, mkoani Marib.Mpaka sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa na msemaji wa jeshi la Yemen, Yahya Saree, kuhusu…
Marekani na Israeli Zipo Tayari kwa Uwezekano wa Mashambulizi Dhidi ya Iran.
Kulingana na duru za kijeshi kutoka nchini Israeli zilizokaririwa na shirika la habari la Kan News, majeshi ya Marekani na Israeli yamewekwa katika hali ya tahadhari ya juu, yakijiandaa kwa…
Felicien Kabuga Mtuhumiwa wa Mauwaji ya Kimbari nchini Rwanda aaga dunia
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) yenye makao yake The Hague imetangaza kuwa mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda, Félicien Kabuga, amefariki dunia akiwa…
Marekani Yaionya Iran: Trump Atishia Mashambulizi Makali Zaidi Huku “Muda Ukiyoyoma”.
Kulingana na ripoti kutoka mtandao wa Axios, Donald Trump ametoa onyo kali kwa taifa la Iran kupitia mazungumzo ya simu, akisisitiza kuwa “muda unayoyoma.” Ameonya kwamba ikiwa Iran haitakubali mkataba…
Marekani Yaongeza Nguvu za Kijeshi Bahari ya Arabia Karibu na Iran.
Mei 16, 2026 — Jeshi la Wanamaji la Marekani limeongeza kwa kiasi kikubwa uwepo wake wa kijeshi katika Bahari ya Arabia, karibu na Iran, kwa kupeleka makundi makubwa ya meli…
Zawadi ya dola 200,000 kwa atakayetoa taarifa za jasusi Mmarekani wa Iran
FBI Yatoa Zawadi ya Dola 200,000 kwa Taarifa Kuhusu Monica Witt Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limetangaza zawadi ya dola 200,000 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa…
Waziri Mkuu wa Uingereza Aripotiwa Kufikiria Kujiuzulu Kabla ya Uchaguzi Mdogo wa Makerfield.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ameripotiwa kuwaambia kwa faragha baadhi ya washirika wake wa karibu kwamba anapanga kujiuzulu na kuweka ratiba iliyoandaliwa kwa utaratibu ya kuondoka katika makazi rasmi…