Hifadhi ya Mafuta Duniani Ukingoni Kumalizika Kufuatia Kufungwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz
PARIS – Mkuu wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) ametoa onyo kali mnamo tarehe 18 Mei, akieleza kuwa hifadhi za kibiashara za mafuta duniani zimesaliwa na kiasi kinachoweza kutosheleza…
Wakulima walalama kufilisika Marekani – Walaumu Trump na sera zake
WASHINGTON — Sekta ya kilimo nchini Marekani inakabiliwa na mtikisiko mkubwa kufuatia wimbi jipya la kufilisika kwa mashamba, hali ambayo inatishia uwepo wa mashamba mengi ya kifamilia. Wakulima wengi wananyooshea…
Nyaraka za Siri Zafichua: Jinsi Marekani Ilivyoshinikiza Kuondolewa Madarakani kwa Imran Khan
Waraka wa siri wa kidiplomasia wa Pakistan uliotolewa kwa mara ya kwanza tarehe 18 Mei, unathibitisha kuwa mwanadiplomasia mkuu wa Marekani alishinikiza kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi…
Trump viongozi wa Qatar, Saudi Arabia na UAE wameniomba kuakhirisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa sasa
WASHINGTON D.C.– Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kusitisha kwa muda operesheni ya kijeshi iliyokuwa imepangwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Katika chapisho lake mtandaoni Truth Social, Rais…
DONALD TRUMP AVISHUTUMU VYOMBO VYA HABARI KWA UPOTOSHAJI
WASHINGTON D.C. – Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametoa tamko kali kupitia mtandao wake wa kijamii akivishambulia vyombo vikuu vya habari na wapinzani wake wa kisiasa, akidai kuwepo kwa…
“Tumerudi Miaka ya 90”: Mbinu za Msituni za Hizbullah Zaiacha Israel Ikitaka Kusitisha Vita Haraka.
Kituo cha televisheni cha Channel 13 nchini Israel kimeripoti kuhusu mabadiliko ya mbinu za kivita za kundi la Hzb. Allah, kufuatia shambulio la hivi karibuni lililojeruhi wanajeshi wanne wa Israel.…
Julius Malema Ahoji Kwanini Mnangagwa (rais wa Zimbabwe) Alinusurika Corona Ila Sio Magufuli
JOHANNESBURG, 17 Mei 2026 — Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), Julius Malema, amezua mjadala kufuatia kauli yake ya kuhoji namna janga la COVID‑19 lilivyodai maisha ya aliyekuwa…
Heche: Lissu Aumwa Tumbo kwa Maumivu Makali Gerezani
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema amepokea taarifa kutoka kwa mdogo wa Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kuwa Lissu anaumwa tumbo na anapata…
Rais Trump Atuma Ramani Inayotishia Uvamizi wa Nchi Kavu dhidi ya Iran.
Delhi, Mei 18, 2026 – Rais wa Marekani Donald J. Trump amechapisha picha yenye ramani ya eneo la Mashariki ya Kati iliyopambwa kwa bendera ya Marekani, ikionyesha mishale mingi ikilenga…
Gates: Netanyahu Alidai Mwaka 2009 Kwamba Iran Ingeanguka Kwa Shambulio la Kwanza.
Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Marekani, Robert Gates, amesema kuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alimweleza mwaka 2009 kwamba serikali ya Iran ilikuwa dhaifu na ingeanguka mara tu…