Mfumuko wa Bei ya Mafuta Waingia Hatua Mpya Marekani: Kampuni ya Walmart Yatoa Onyo Zito
Mfumuko wa bei ya mafuta nchini Marekani umeingia katika hatua mpya, huku ukizidi kutishia uchumi wa wananchi wake. Kampuni kubwa ya rejareja nchini humo, Walmart, imetoa onyo ikieleza kuwa kupanda…
Juhudi za Kusaka Amani: Ujumbe wa Iran Wawasili Qatar Kujadili Usitishaji wa Vita
DOHA, QATAR- Katika hatua muhimu ya kidiplomasia, ujumbe rasmi kutoka nchini Iran, ukiongozwa na Mohammad Bagher Ghalibaf, umewasili jijini Doha, Qatar hivi leo, kwa mujibu wa ripoti kutoka shirika la…
Yanayojiri kuhusu vita vya Iran: Trump anasema ‘makubaliano na Iran yamekaribia kukamilika’
Yanayojiri: Donald Trump amesema katika mahojiano kwamba amegawanyika “50/50” kati ya kufikia makubaliano ya amani na Iran na kuanzisha tena mashambulizi ya kijeshi. Iran na Pakistan zimewasilisha pendekezo lililorekebishwa kwa…
Senegal Yakaza Uzi Dhidi ya Mapenzi ya Jinsia Moja, Waziri Mkuu Ashutumu Mataifa ya Magharibi
DAKAR, SENEGAL – Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko, ameyashutumu vikali mataifa ya Magharibi kwa kile alichokieleza kuwa ni jaribio la kulazimisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja katika taifa…
Iran Yasisitiza Kuiunga Mkono Hezbollah, Yadai Usitishaji Vita Lebanon Katika Makubaliano Yoyote ya Amani.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Seyed Abbas Araghchi, amewasilisha ujumbe maalum kwa Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, akisisitiza msimamo thabiti wa Tehran…
90 waaga dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kwenye mgodi China
TAKRIBAN watu 90 walifariki kufuatia mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe kaskazini mwa China, kulingana na vyombo vya habari vya serikali ya nchi hiyo. Mlipuko huo wa gesi ulitokea…
Ufaransa Yampiga Marufuku Waziri wa Usalama wa Israel Kuingia Nchini Humo
PARIS – Serikali ya Ufaransa imempiga marufuku Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben-Gvir, kuingia katika ardhi ya taifa hilo, kufuatia kile kilichotajwa kuwa ni mienendo isiyokubalika dhidi…
Urusi Yatumia Makombora ya Oreshnik Katika Mashambulizi Mapya Nchini Ukraine.
Katika mashambulizi makali yaliyoshuhudiwa usiku wa leo, picha na mikanda ya video iliyotolewa inathibitisha kuwa Urusi imetumia kombora la balestiki aina ya ‘Oreshnik’ nchini Ukraine. Hatua hii inakuja na kuthibitisha…
Tumeishiwa Silaha, Iran Inashinda Vita,” Akiri Mbunge wa Marekani
WASHINGTON, MAREKANI – Katika kauli inayoibua mjadala mzito, Mwakilishi wa Bunge la Marekani (Congress), Raja Krishnamoorthi, ametoa onyo kali kuhusu kile alichokitaja kuwa ni Marekani kushindwa katika “vita vya kuchosha”…
Rasimu ya Mkataba wa Amani Yafichuka: Iran Kunufaika na Mabilioni Huku Marekani Ikilegeza Kamba
Ripoti mpya kutoka shirika la habari la Al Jazeera zinaeleza kuwa rasimu ya makubaliano ya amani kuhusu Iran imependekeza hatua kadhaa nzito, ikiwemo kusitishwa kabisa kwa uhasama, hatua inayoihusisha pia…