Jarida la The New Yorker: Makubaliano Yoyote na Iran, Yatakuwa Fedheha kwa Trump.
WASHINGTON – Jarida la Marekani la The New Yorker limeripoti kuwa makubaliano yoyote yatakayofikiwa na Donald Trump kwa ajili ya kumaliza mzozo na Iran yatakuwa ya fedheha kwake, kutokana na…
Marekani Yathibitisha Kufanya Mashambulizi Kusini mwa Iran, Yakana Kukiuka Usitishaji wa Vita.
Makubaliano ya kusitisha mapigano yameripotiwa kukiukwa na Marekani kufuatia uthibitisho kutoka kwa vikosi vyake kuhusu kutekeleza mashambulizi katika maeneo ya kusini mwa Iran. Kwa mujibu wa shirika la habari la…
Urusi yaanzisha mashumbulizi mazito Ukraine, yatoa onyo kali kwa raia kuondoka Kyiv
KYIV, UKRAINE – Mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, upo katika hali ya taharuki kufuatia majeshi ya Urusi kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya kimkakati yanayolenga viwanda na asasi mbalimbali za…
Urusi Yaanzisha Mashambulizi Mazito Ukraine, Yatoa Onyo Kali kwa Raia Kuondoka Kyiv.
KYIV, UKRAINE – Mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, upo katika hali ya taharuki kufuatia majeshi ya Urusi kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya kimkakati yanayolenga viwanda na asasi mbalimbali za…
Timu ya Taifa ya Iran Kupokelewa Tijuana Baada ya Marekani Kudinda
Rais wa Meksiko, Claudia Sheinbaum, ametangaza rasmi kuwa nchi yake itaikaribisha timu ya taifa ya soka ya Iran katika mji wa Tijuana kwa ajili ya maandalizi ya Kombe la Dunia.…
Murkomen atangaza Jumatano sikukuu ya Idd-ul-Adha
WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen ametangaza Jumatano kama sikukuu ya kitaifa.Kupitia notisi ya gazeti iliyochapishwa Jumatatu Mei 25, waziri huyo alitangaza kuwa siku hiyo ni ya Idd-ul-Adha ama…
Channel 14 ya Israel: Hitilafu kati ya Netanyahu na Trump ni mbinu ya hadaa
🔹 Kulingana na mchambuzi mkuu wa usalama wa Israel, ripoti zilizovuja kuhusu mazungumzo ya simu yenye mvutano kati ya Trump na Netanyahu kuhusiana na Iran hazikuwa za kweli, bali zilikuwa…
MBALAMWEZI YA AMANI: Iran na Marekani Zakaribia Kufikia Makubaliano ya Kihistoria
BEIJING, CHINA – Juhudi za kidiplomasia za kuleta utulivu kati ya mataifa hasimu ya Iran na Marekani zimechukua mwelekeo mpya, huku kukiwa na ishara za wazi kuwa nchi hizo mbili…
Iran imeanza upya ujenzi wa uzalishaji wa makombora yake ya masafa marefu wakati wa usitishaji vita, kwa kasi kubwa zaidi kuliko ilivyotabiriwa na mashirika ya ujasusi ya Israel na Marekani.
Iran imeanza upya ujenzi wa uzalishaji wa makombora yake ya masafa marefu wakati wa usitishaji vita, kwa kasi kubwa zaidi kuliko ilivyotabiriwa na mashirika ya ujasusi ya Israel na Marekani.…
Askofu Bagonza: Hakuna dhehebu lenye uwezo wa kutuchagulia rais, Akanusha njama za 2030
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Dkt. Benson Bagonza amesema Kanisa hilo halijawahi kukaa kikao chochote cha kupanga Rais ajae wala hakuna Dhehebu lenye…