Mfuko wa Trump wa Kujenga Upya Gaza Wasalia Mtupu Licha ya Ahadi ya Matrilioni
WASHINGTON:Mfuko rasmi unaosimamiwa na Benki ya Dunia chini ya mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuijenga upya Gaza unaojulikana kama “Bodi ya Amani” (Board of Peace), umeripotiwa kuwa…
Iran Yashambulia Meli ya Mafuta ya Marekani Iliyozimwa Rada Hormuz.
BANDAR ABBAS, IRAN — Chanzo cha kuaminika cha kijeshi kimeiambia Wakala wa Habari wa Tasnim kuwa, usiku wa kuamkia Alhamisi, meli moja ya mafuta ya Marekani ilijaribu kupita kwa siri…
Ripoti: Akiba ya Makombora ya Marekani Yaporomoka, Urejeshaji Kuchukua Hadi Miaka Mitano.
WASHINGTON — Uchambuzi mpya umeeleza kuwa Marekani huenda ikahitaji kati ya miaka mitatu hadi mitano kujenga upya akiba zake muhimu za makombora, baada ya kutumika kwa kiwango kikubwa katika vita…
Ken Paxton Apata Ushindi wa Kishindo Dhidi ya Seneta John Cornyn katika Mchuano wa Texas.
(TEXAS, MAREKANI) – Katika pigo jingine kubwa kwa mrengo wa chama cha Republican, Ken Paxton, anayeungwa mkono kwa dhati na Rais Donald Trump, amemshinda Seneta wa muda mrefu wa Marekani,…
Mgogoro wa kisiasa Senegal , Rais amchagua Aminou Lo kama Waziri Mkuu
Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane…
Armenia nchi ya kwanza kununua Mtambo wa Ulinzi wa Iran “Majed” uliyopiga ndege za Marekani
TEHRAN/YEREVAN — Katika hatua inayoashiria mabadiliko makubwa ya kiusalama, taifa la Armenia inaripotiwa kusaini mkataba wa siri wa ununuzi wa silaha wenye thamani ya dola za Marekani milioni 500 na…
Iran: Hakuna Mazungumzo Mapya na Marekani Hadi Fedha Zilizozuiwa Zirejeshwe
Shirika la Habari la Fars, likinukuu chanzo cha uhakika, limeripoti kuwa hakutakuwa na mazungumzo yoyote kati ya Iran na Marekani bila kufanyika kwa uhamishaji wa fedha za Iran zilizozuiwa. Kwa…
Iran Yatangaza Mfumo Mpya wa Malipo Kwa Meli Zinazopita Katika Mlango-Bahari wa Hormuz
TEHRAN, IRAN– Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa ufafanuzi rasmi kuhusiana na usimamizi wa njia za maji katika eneo la Ghuba, ikisema kuwa haina mpango wa kutoza “ushuru…
Marekani Yakanusha Madai ya Kuanza Tena Kusindikiza Meli Lango la Hormuz
Ripoti zinazokinzana zimeibuka kufuatia madai ya gazeti la Wall Street Journal (WSJ) kwamba Marekani imeanza tena operesheni ya kutoa msaada na ulinzi kwa meli zinazopita katika Ghuba ya Uajemi. Awali,…
Uingereza Yadai Urusi Ilivuruga Mfumo wa GPS wa Ndege Iliyombeba Waziri Wake wa Ulinzi.
LONDON – Shirika la utangazaji la BBC limeripoti kuwa Urusi imeingilia na kuvuruga mfumo wa mawasiliano wa GPS wa ndege iliyokuwa ikimsafirisha Waziri wa Ulinzi wa Uingereza. Kwa mujibu wa…