New York Times – Netanyahu ametengwa katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran
WASHINGTON/TEL AVIV – Gazeti New York Times limeripoti kwamba Uhusiano wa kidiplomasia na kimkakati kati ya Marekani na Israel umechukua sura mpya, huku Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akionekana…
Vita vya Iran vyayumbisha usalama wa Japani.
Serikali ya Marekani imetoa taarifa rasmi kwa Japani ikionya kuhusu uwezekano wa kucheleweshwa kwa utoaji wa makombora 400 ya aina ya Tomahawk kwa kipindi cha hadi miaka miwili. Kwa mujibu…
Trump Atangaza Hatua Muhimu ya Kufikia Makubaliano ya Amani na Iran.
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa tangazo zito linalotarajiwa kubadili sura ya jiopolitiki katika Mashariki ya Kati, akithibitisha kuwa mazungumzo ya Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Marekani na Jamhuri…
Iran na Oman Zazidisha Juhudi za Kidiplomasia Kuzuia Mgogoro Kanda ya Ghuba.
Katika mwendelezo wa juhudi za kidiplomasia kurejesha utulivu katika ukanda wa Mashariki ya Kati, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa…
Iran Yasisitiza Kuendeleza Diplomasia Licha ya Kutoiamini Marekani
Katika juhudi za kutafuta suluhu ya kidiplomasia, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, yakilenga…
Iran na Pakistan Zaungana Kuimarisha Usalama wa Chakula Kanda ya Ghuba.
Iran imetangaza nia yake ya kushirikiana kwa karibu na nchi jirani ya Pakistan ili kuhakikisha usalama endelevu wa chakula katika ukanda wa Ghuba ya Uajemi. Katika mazungumzo yaliyofanyika mjini Tehran…
Athari Fiche za Vita: Uhitaji wa Huduma za Afya ya Akili yaongezeka kwa 240 % Israel
Jerusalem — Kwa mujibuwa gazeti la Jerusalem Post, Uhitaji wa huduma za afya ya akili nchini Israel umeongezeka kwa takriban asilimia 240 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Hali hii…
Iran yadaiwa kuharibu ndege zisizo na rubani za Marekani zenye thamani ya mabilioni
TEHRAN – Ripoti mpya ya shirika la habari la Bloomberg imebainisha kuwa, tangu kuanza kwa mzozo wa sasa, Iran imefanikiwa kutungua zaidi ya ndege zisizo na rubani (drones) za Marekani…
Mvutano Bado Mkali: Iran Yasema Hakuna Dalili za Makubaliano ya Haraka na Marekani
TEHRAN, IRAN – Serikali ya Iran imeweka wazi kuwa hakuna dalili zozote za kufikia makubaliano ya haraka na Marekani, ikisisitiza kuwa tofauti kati ya mataifa hayo mawili ni kubwa, nyingi,…
Umoja wa Ulaya Wapanua Wigo wa Vikwazo Dhidi ya Iran
BRUSSELS/TEHRAN – Umoja wa Ulaya (EU) leo umetangaza uamuzi wa kupanua mfumo wake wa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Hatua hii imetajwa na upande wa Iran kama…