Macron: Meli ya Kivita ya “Charles de Gaulle” iliyokuwa ikielekea Hormuz yarejea Ufaransa
Utangulizi Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kuwa meli ya kubeba ndege ya kivita ya “Charles de Gaulle” imeondoka eneo…
Janga la AI India: Wanawake wa Kiislamu Walengwa na Udhalilishaji wa Ngono Mitandaoni
NEW DELHI, INDIA — Ripoti mpya ya kituo cha habari cha Al Jazeera imefichua kuwa wanawake wa Kiislamu nchini India…
Yemen Yasema imezizuia Ndege za Kivita za Saudi Zilizoitishia Ndege ya Raia ya Iran Kutua Sanaa
Utangulizi Jeshi la Yemen limetangaza kuwa tarehe 3 Julai 2026 lilizuia kile lilichokitaja kama jaribio la ndege za kivita za…
CUBA: “Hatutafuti Vita, Lakini Hatuogopi,” Rais Díaz-Canel Aipa makavu Marekani
HAVANA, Cuba – Rais wa Cuba, Miguel Díaz-Canel, ametoa onyo kali kwa serikali ya Marekani akisisitiza kuwa nchi yake haitishwi…
Israel: kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa kilichopigwa na Iran chahitaji miaka 2 kurekebishwa
Viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta nchini Israel (Bazan) vimepata pigo zito kufuatia mashambulizi ya makombora kutoka Iran, huku ripoti mpya…
Siku 1,000 za vita: kituo cha Israel chakiri kukwama jeshi lao na Iran kuibuka kidedea
TEL AVIV, ISRAELKituo cha habari cha Channel 13 cha nchini Israel kimetoa ripoti ya kushtusha ikibainisha kuwa, baada ya siku…