Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana
AFUENI KWA KENYA BAADA YA KUANZA kuzalisha mafuta kabla ya mwisho wa mwaka huu kutoka kaunti ya Turkana kaskazini mwa nchi. Waziri wa Kawi na Mafuta Opiyo Wandayi hivyo Ijumaa…
AFUENI KWA KENYA BAADA YA KUANZA kuzalisha mafuta kabla ya mwisho wa mwaka huu kutoka kaunti ya Turkana kaskazini mwa nchi. Waziri wa Kawi na Mafuta Opiyo Wandayi hivyo Ijumaa…
“Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, ametoa tamko zito kuhusu hali ya usalama nchini Lebanon, akisisitiza kuwa hakuna makubaliano yoyote ya kusitisha mapigano yanayoendelea katika eneo hilo. Katika taarifa…
Waziri wa Hazina wa Marekani amesema katika mahojiano na Fox News kwamba Marekani inaweka mbele masuala matatu kama kigezo cha “kumaliza kazi” katika mazungumzo yanayohusiana na Iran, huku akirudia madai…
Tuna nchi kumi na tano jirani, miongoni mwao zipo kwenye nchi kavu na zengine baharini, na tumekuwa tayari kila wakati kuanzisha uhusiano mzuri pamoja na kila nchi, lakini baadhi ya…
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Ijumaa kwamba mabadilishano ya ujumbe kati ya Iran na yanaendelea, lakini hadi sasa hakuna mwafaka wa mwisho uliofikiwa huku akisisitiza…
Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha kwa muda kuanzishwa kituo cha karantini kwa wagonjwa wa Ebola raia wa Marekani, kilichotarajiwa kujengwa nchini humo. Kufuatia uamuzi huo, wakuu wa Marekani wamedai kuwa…
Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo…
Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane…
TEHRAN, IRAN– Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa ufafanuzi rasmi kuhusiana na usimamizi wa njia za maji katika eneo la Ghuba, ikisema kuwa haina mpango wa kutoza “ushuru…
KYIV, UKRAINE – Mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, upo katika hali ya taharuki kufuatia majeshi ya Urusi kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya kimkakati yanayolenga viwanda na asasi mbalimbali za…