Viongozi wa chama cha Trump “Republicans” wamtaka kumaliza vita vya Iran kabla ya uchaguzi
Washington – Rais wa Marekani, Donald Trump, anafahamu kikamilifu athari za kisiasa ambazo vita vimeleta kwake na kwa chama chake, kwa mujibu wa vyanzo vitatu vinavyofahamu mashauriano ya hivi karibuni…