Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi Atoa Wito Kupunguza Matumizi ya Petroli na Dizeli nchini India.
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, amewahimiza wananchi kupunguza matumizi ya petroli na dizeli kwa kuhamasisha matumizi ya usafiri wa umma na njia mbadala za nishati. Katika wito wake, Modi…