Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa litaendelea kupiga marufuku kuingizwa kwa bendera ya kabla ya mapinduzi ya Iran inayojulikana kama “Simba na Jua,” pamoja na mavazi yenye nembo hiyo, katika viwanja vya Kombe la Dunia 2026.
Hatua kama hiyo ilichukuliwa pia wakati wa Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar, ambako bendera hiyo haikuruhusiwa kuonekana kwenye maeneo ya mashabiki.
Chanzo: The New York Times