Urusi na China zinatarajiwa kupiga kura ya turufu dhidi ya rasimu ya azimio lililowasilishwa na Bahrain na Marekani kuhusu hali ya usalama katika Mlango wa Hormuz, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya kimataifa.

WMtandao wa Al Jazeera umearifu kuwa hadi sasa Moscow na Beijing hawajawasilisha mapendekezo yoyote ya marekebisho kwa rasimu hiyo.Taarifa zaidi zinaonyesha kuwa rasimu iliyowasilishwa na Marekani na Bahrain inaonekana kufanana kwa kiasi kikubwa na ile ambayo awali ilikataliwa na Urusi na China.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *