Yemen wadai kuitungua droni ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper katika eneo la Safer, mkoani Marib.Mpaka sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa na msemaji wa jeshi la Yemen, Yahya Saree, kuhusu tukio hilo. Kwa upande mwingine, jeshi la Marekani bado halijathibitisha wala kukanusha madai ya kupotea kwa droni hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *