Waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Barak, amekosoa vikali mwenendo wa Waziri Mkuu wa sasa, Benjamin Netanyahu, katika mahusiano yake na Marekani.

Katika kauli yake, Barak alisema kuwa Netanyahu amegeuka kuwa “kikaragosi mikononi mwa Donald Trump,” akionyesha wasiwasi kuhusu namna serikali ya Israel inavyoendesha uhusiano wake na Washington.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *