Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi Atoa Wito Kupunguza Matumizi ya Petroli na Dizeli nchini India.
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, amewahimiza wananchi kupunguza matumizi ya petroli na dizeli kwa kuhamasisha matumizi ya usafiri wa…
Ghana yakataa dili nono ya Amerika kutokana na hitaji la kufichua data za raia
Utawala wa Rais John Dramani Mahama ulikataa mpango ambapo uliihitaji kupata msaada wa kifedha kwa kuipa Amerika data yake muhimu…
Marekani yadai kumnasa jasusi wa China akijaribu kumhonga msaidizi wa bunge la Marekani
WASHINGTON — Mwanaume aliyedai kuwa mfanyabiashara kutoka Hong Kong anaripotiwa kumkaribia msaidizi wa bunge la Marekani kwa lengo la kupata…
Macron na Ruto wasaini makubaliano katika mkutano uliofanyika Ikulu ya Nairobi
Macron na Ruto wasaini makubaliano katika mkutano uliofanyika Ikulu ya Nairobi, na kufanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari.…
CNN: Tathmini ya kijasusi ya Marekani inaonesha kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, licha ya kujeruhiwa, bado anaendelea kuamua mikakati ya nchi kwa siri.
Mtandao wa CNN umeripoti kuwa tathmini ya kijasusi ya Marekani inaonyesha kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu bado anaendelea kuelekeza…
Baada ya onyo la Iran, Macron akana mpango wa kupeleka meli za kivita Hormuz
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa nchi yake haikuwahi kupanga kupeleka vikosi vya majini katika Mlango wa Hormuz. Badala…