Baada ya onyo la Iran, Macron akana mpango wa kupeleka meli za kivita Hormuz
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa nchi yake haikuwahi kupanga kupeleka vikosi vya majini katika Mlango wa Hormuz. Badala yake, amesema Ufaransa ilikuwa inapendekeza ujumbe wa usalama wa kidiplomasia…
Iran yaonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, ameonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz, akisisitiza kuwa…
Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi amesisitiza haja ya kuimarisha na kupanua uhusiano wa pande mbili na Vietnam.
Balozi mpya wa Iran nchini Vietnam, Javad Ghasemi, amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, siku ya Jumapili kabla ya kuondoka kuelekea Hanoi kuanza rasmi majukumu…
Meli ya gesi ya Qatar yaripotiwa kupita Mlango wa Hormuz kwa ruhusa ya Iran
Meli ya kubeba gesi asilia iliyoyeyushwa (LNG) inayomilikiwa na Qatar, iitwayo “Al‑Khariyat”, imetuma ishara katika maji ya Bahari ya Oman, kulingana na taarifa za ufuatiliaji wa meli. Taarifa zinaonyesha kuwa…
‘Usaliti’ au Uhuru? tetesi UAE kujindoa katika umoja wa nchi za kiarabu ili kuikumbatia Israel
Baadhi ya vyanzo vya habari vinaripoti uwezekano wa Falme za Kiarabu (UAE) kujiondoa katika Umoja wa Nchi za Kiarabu, wiki moja baada ya kutangazwa kwa habari za kujiondoa kwa nchi…
Mwakilishi wa Bunge la Marekani asema Trump ni tishio kwa usalama wa nchi
Mwakilishi wa Chama cha Democratic katika Bunge la Marekani, Seth Moulton, amesema kuwa rais wa Marekani Donald Trump ni tishio kwa usalama na uthabiti wa Marekani. Akizungumza kuhusu wasiwasi unaoibuka…
Putin: Kuendelea kwa vita kati ya Marekani na Iran hakuna faida kwa yeyote
Putin amesema kuwa kuendelea kwa vita kati ya Marekani na Iran hakutanufaisha upande wowote. Amesema pia kuwa mgogoro huo ni mgumu sana na umeiweka Urusi katika hali ngumu, akieleza kwamba…
Ripoti ya New York Times kuhusu kutumwa kwa bidhaa muhimu na silaha za Urusi kwenda Iran kupitia Bahari ya Caspian.
New York Times imeripoti kuwa Bahari ya Caspian imekuwa njia muhimu ya kimkakati kwa Iran na Urusi katika kipindi cha mvutano wa kikanda na shinikizo la Marekani. Kwa mujibu wa…
Ehud Barak: Netanyahu Amekuwa Kikaragosi cha Trump
Waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Barak, amekosoa vikali mwenendo wa Waziri Mkuu wa sasa, Benjamin Netanyahu, katika mahusiano yake na Marekani. Katika kauli yake, Barak alisema kuwa Netanyahu…
Mufti wa Oman awataka Waislamu kuunga mkono Iran na Gaza
Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed Al‑Khalili, ametoa wito kwa Waislamu duniani kuonyesha mshikamano wao na Iran na Gaza kufuatia maendeleo ya hivi karibuni katika eneo la Mashariki ya Kati.…