Wanasayansi: Aina ya sasa ya Ebola imeitoka kwa wanyamapori
Ugonjwa wa sasa wa Ebola, ambao ulizuka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda mwezi uliopita, ni matokeo ya…
KOREA KASKAZINI: Kwa nini Trump Anajihisi Ameshindwa?
Rais wa Korea Kusini, Lee Jae Myung, ametoa kauli nzito inayofichua hali ya sintofahamu inayomkabili Rais wa Marekani, Donald Trump,…
Mapigano makali Lebanon: wanajeshi 4 wa Israel wauawa, huku Israel ikiuwa raia 18
BEIRUT, LEBANON – Hali ya usalama nchini Lebanon imeendelea kuwa tete baada ya jeshi vamizi la Israel (IOF) kutangaza leo…
MAHUSIANO YAINGIA DOSARI: Jinsi Kauli ya Trump Ilivyochafua Hali ya Hewa Kati ya Italia na Marekani
ROMA, ITALIA – Hali ya kidiplomasia kati ya Marekani na Italia imeingia katika msukosuko mkubwa baada ya Rais wa Marekani,…
Mazungumzo ya Kiufundi ya Marekani na Iran Yasimamishwa Ghafla Baada ya Vance Kughairi Safari ya Uswisi
Mazungumzo ya kiufundi kati ya Marekani na Iran kuhusu hati ya makubaliano (MOU) iliyosainiwa yalipangwa kufanyika nchini Uswisi siku ya…
Rice aiponda serikali ya Trump: “makubaliano na Iran ni waraka wa kusalimu amri”
WASHINGTON D.C, MAREKANI – Aliyekuwa Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani, Susan Rice, ametoa shutuma nzito dhidi ya makubaliano…