Rais Macron: Afrika ndio mustakabali wa kesho
Rais wa Ufaransa Macron: “Yeyote anayeipuuza Afrika hii leo anakosea na anaupoteza mustakabali wake mwenyewe”
CHOKOCHOKO AU KUKOSEA NJIA? Austria Yaonyesha Misuli kwa Ndege za Marekani Zilizovamia Anga Yake
VIENNA, AUSTRIA — Katika tukio ambalo limezua hisia za kiusalama, Jeshi la Austria limelazimika kurusha ndege zake za kivita aina ya Eurofighter kwa siku mbili mfululizo, kufuatia ndege za Jeshi…
Pentagon Yafikiria Kubadilisha Jina la Operesheni ya Iran Huku Kukiwa na Vitisho vya Kusitisha Vita.
Pentagon inaripotiwa kufikiria kubadilisha jina la operesheni yake dhidi ya Iran kutoka “Operation Epic Fury” hadi “Operation Sledgehammer.” Hatua hii inakuja huku kukiwa na wasiwasi unaoongezeka kwamba makubaliano ya kusitisha…
Kutoka Uraibu Hadi Usalama wa Watoto: Von der Leyen Atangaza Vita Dhidi ya TikTok, Meta na X
Ursula von der Leyen amesema kuwa hatua zinachukuliwa dhidi ya TikTok kutokana na muundo wake unaodaiwa kuchochea uraibu kwa watumiaji. Amesema vipengele kama kuvinjari bila kikomo, video kuchezwa zenyewe, pamoja…
Saudi Arabia Yafanya Mashambulizi ya Anga Dhidi ya Iran, Reuters Yaripoti.
Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa Saudi Arabia ilifanya mashambulizi kadhaa ya anga dhidi ya Iran mwishoni mwa mwezi Machi, ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi ya makombora na…
Joe Kent Afisa wa Zamani wa Serikali ya Trump: Israel Ilimdanganya Trump Kuhusu Iran
WASHINGTON — Aliyekuwa mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani wa serikali ya Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa rais huyo anapaswa kuelekeza hasira yake…
Iran Yaweka Masharti 5 Kabla ya Kuendelea Mazungumzo na Marekani.
Chanzo kimoja chenye taarifa kimesema kuwa Iran haitashiriki duru ya pili ya mazungumzo na Marekani hadi pale masharti matano ya kujenga imani yatakapotekelezwa. Kwa mujibu wa chanzo hicho, masharti hayo…
Ombachi Kumkaribisha Emmanuel Macron – Je, Ni Mafanikio ya Kitaaluma au Usaliti wa Kisiasa?
Hivi karibuni, mtandao umelipuka kwa mjadala mkali kufuatia taarifa kwamba Dennis Ombachi, mpishi maarufu wa Kenya anayetambulika duniani kwa mapishi yake ya kwenye roshani (balcony), kumkaribisha Rais wa Ufaransa, Emmanuel…
Falme za Kiarabu Zathibitishwa Kutekeleza Mashambulizi ya Kijeshi Dhidi ya Iran
Katika ufichuzi mpya ambao umezua mshituko katika ukanda wa Mashariki ya Kati, gazeti maarufu la Wall Street Journal limeripoti kuwa nchi ya Falme za Kiarabu (UAE) imekuwa ikitekeleza msururu wa…
Mvutano wa nyuklia: Iran yagomea pendekezo la Marekani lakuhamisha Urani nje ya nchi
Kwa mujibu wa chanzo cha Iran kilichonukuliwa na Al Jazeera, Washington iliwasilisha pendekezo linalodai kupatiwa urani iliyoboreshwa kwa kiwango cha juu cha asilimia 60.Chanzo hicho kilieleza kuwa Washington ilikataa mpango…