CUBA: “Hatutafuti Vita, Lakini Hatuogopi,” Rais Díaz-Canel Aipa makavu Marekani
HAVANA, Cuba – Rais wa Cuba, Miguel Díaz-Canel, ametoa onyo kali kwa serikali ya Marekani akisisitiza kuwa nchi yake haitishwi na shinikizo lolote la kijeshi. Kauli hiyo imekuja kufuatia mfululizo…
Israel: kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa kilichopigwa na Iran chahitaji miaka 2 kurekebishwa
Viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta nchini Israel (Bazan) vimepata pigo zito kufuatia mashambulizi ya makombora kutoka Iran, huku ripoti mpya ikifichua kuwa matengenezo hayo yatachukua hadi mwaka 2028 kukamilika. Licha…
Siku 1,000 za vita: kituo cha Israel chakiri kukwama jeshi lao na Iran kuibuka kidedea
TEL AVIV, ISRAELKituo cha habari cha Channel 13 cha nchini Israel kimetoa ripoti ya kushtusha ikibainisha kuwa, baada ya siku 1,000 za mapigano makali, nchi hiyo imeshindwa kupata “ushindi wa…
Washington Yashuku Israel Ilipanga Kuwaua Wajumbe Wakuu wa Iran Wakati wa Mazungumzo ya Kusitisha Mapigano
Washington, D.C. — Marekani ilishuku kuwa Israel ilikuwa inapanga kuwaua wajumbe wakuu wa Iran waliokuwa wakiongoza mazungumzo nyeti ya kusitisha mapigano, hali iliyowasukuma maafisa wa Marekani kuzihimiza baadhi ya nchi…
Ujerumani Yajibu Mapigo kwa Trump Kuhusu Nato
BERLIN, UJERUMANI – Serikali ya Ujerumani imepinga vikali wito wa rais mteule wa Marekani, Donald Trump, wa kuitaka nchi hiyo kutoa ahadi ya utiifu usio na masharti kwa shirika la…
Urusi Yatuhumiwa Kutumia ‘Meli za Kivuli’ Kujasusi Vituo vya Nyuklia vya Nato
MOSCOW, URUSI – Ripoti mpya ya kiintelijensia imefichua kuwa Urusi imetekeleza operesheni ya siri ya miezi 15, ikitumia meli za mafuta zilizowekewa vikwazo, maarufu kama ‘Shadow Fleet’, kurusha ndege zisizo…
Ugiriki: Shambulio la Mabomu Kwenye Makazi ya Wanasiasa Lalisababisha Kifo na Majeraha
Mtu mmoja amepoteza maisha na wengine wanne kujeruhiwa vibaya kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya mabomu yaliyolenga makazi ya wanasiasa watatu wa chama tawala cha New Democracy katika mji wa Thessaloniki,…
TISHIO LA NISHATI? Akiba ya Mafuta ya Marekani Yakaribia Kukauka
Akiba ya kimkakati ya mafuta nchini Marekani imeripotiwa kupungua kwa kiasi kikubwa na kufikia kiwango cha chini zaidi kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 43 iliyopita. Kwa mujibu wa taarifa…
OBAMA: Vita Vimetugharimu Mabilioni, Tumerudi zero!
Aliyekuwa Rais wa Marekani, Barack Obama, ametoa tathmini nzito na ya kushtua kuhusu ushiriki wa taifa hilo katika vita, akibainisha kuwa Marekani imerejea katika hatua ile ile iliyokuwepo kabla ya…
Gharibabadi: Lango la Hormuz liko chini ya mamlaka ya Iran, si CENTCOM
TEHRAN – Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, amesisitiza kuwa udhibiti wa Lango la Hormuz uko mikononi mwa Iran pekee,…