Kenya yaomba kiti cha kudumu kwenye Baraza la UN
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja…
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ameomba China kutumia ushawishi wake kumsaidia Marekani kutafuta suluhu ya mgogoro wa Iran, ikiwemo kuishinikiza Tehran kufungulia Mlango wa Hormuz na…
Kampuni ya Kijerumani yapata hasara ya dola milioni 60 kwa wiki kutokana na mgogoro wa Hormuz 🔹Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya usafirishaji ya Kijerumani, Hapag-Lloyd, amesema kuwa kuendelea kwa mgogoro…
Rais wa Ufaransa Macron: “Yeyote anayeipuuza Afrika hii leo anakosea na anaupoteza mustakabali wake mwenyewe”
Mamia ya waungaji mkono wa uongozi wa serikali ya kijeshi ya Mali Jumamosi walijumuika katika uwanja wa michezo katika mji mkuu, Bamako ili kuthibitisha uungaji mkono wao kwa serikali ya…
Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo.Wasaudia wanasisitiza kwamba ongezeko la…
Falme za Kiarabu (UAE) zimeripotiwa kuwakamata na kuwafukuza maelfu ya wafanyakazi wa Pakistan muda mfupi baada ya Pakistan kusaidia kupatanisha usitishaji wa mapigano kati ya Marekani na Iran. Kulingana na…
Utawala wa Rais John Dramani Mahama ulikataa mpango ambapo uliihitaji kupata msaada wa kifedha kwa kuipa Amerika data yake muhimu ya kiafya.Suala hilo hilo lilizima mazungumzo kati ya Amerika na…
Macron na Ruto wasaini makubaliano katika mkutano uliofanyika Ikulu ya Nairobi, na kufanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari. Tarehe 10, Mei 2026
Putin amesema kuwa kuendelea kwa vita kati ya Marekani na Iran hakutanufaisha upande wowote. Amesema pia kuwa mgogoro huo ni mgumu sana na umeiweka Urusi katika hali ngumu, akieleza kwamba…