Sudan yazituhumu UAE naEthiopia kwa shambulio lauwanja wa ndege wa Khartoum
Serikali ya Sudan imezituhumu Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Ethiopia kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani (drones) lililolenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum, msemaji…