Tuna nchi kumi na tano jirani, miongoni mwao zipo kwenye nchi kavu na zengine baharini, na tumekuwa tayari kila wakati kuanzisha uhusiano mzuri pamoja na kila nchi, lakini baadhi ya nchi hizi zimewekewa misingi yenye kulenga udhibiti katika eneo … napendekeza kwamba misingi hii ifungwe haraka iwezekanavyo.
✍🏼 Sehemu ya ujumbe wa kwanza wa Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.