Spika wa Bunge la Iran, Baqir Ghalibaf, amesema dunia iko katika hatua ya kuingia katika mpangilio mpya wa kimataifa.

Akinukuu kauli ya Rais wa China, Xi Jinping, Ghalibaf alisema kuwa “mabadiliko ambayo hayajaonekana katika kipindi cha karne moja yanaongezeka kasi duniani kote.”

Alisisitiza kuwa ukakamavu wa siku 70 wa taifa la Iran dhidi ya uvamizi wa Marekani na Israel umechangia kuharakisha mabadiliko hayo. Ghalibaf pia alieleza kuwa mustakabali wa dunia unazidi kuelekea kwa nchi za Ulimwengu wa Kusini (Global South).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *