Kampuni ya Kijerumani yapata hasara ya dola milioni 60 kwa wiki kutokana na mgogoro wa Hormuz

🔹Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya usafirishaji ya Kijerumani, Hapag-Lloyd, amesema kuwa kuendelea kwa mgogoro katika Mlango wa Hormuz kumeisababishia kampuni hiyo gharama za ziada za kati ya dola milioni 50 hadi 60 kila wiki.

🔹Ameongeza kuwa hata kama mvutano utapungua, sekta ya usafiri wa baharini itahitaji wiki kadhaa kurejea kikamilifu katika hali ya kawaida.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *