Putin amesema kuwa kuendelea kwa vita kati ya Marekani na Iran hakutanufaisha upande wowote.
Amesema pia kuwa mgogoro huo ni mgumu sana na umeiweka Urusi katika hali ngumu, akieleza kwamba Moscow ina uhusiano mzuri na Iran pamoja na nchi za Kiarabu.
Putin amesema kuwa kuendelea kwa vita kati ya Marekani na Iran hakutanufaisha upande wowote.
Amesema pia kuwa mgogoro huo ni mgumu sana na umeiweka Urusi katika hali ngumu, akieleza kwamba Moscow ina uhusiano mzuri na Iran pamoja na nchi za Kiarabu.