China yaendelea kushikilia msimamo wake kuhusu Iran licha ya ziara ya Trump.
Ripoti ya Al-Monitor inaeleza kuwa ziara ya Donald Trump nchini China haikuleta mafanikio yoyote ya maana katika suala la Iran.…
Ulaya Yakabiliwa na Mgogoro wa Upungufu wa Dawa Baada ya Vita vya Iran.
Ripoti mpya iliyochapishwa na gazeti la La Tribune la Ufaransa imeonya kuhusu hatari ya upungufu wa dawa barani Ulaya, hali…
Trump ashangazwa na Taarifa za kijasusi za Marekani kuhusu makombora ya chini ya ardhi ya Iran
Taarifa mpya za kijasusi za Marekani zimeeleza kuwa uwezo wa makombora ya chini ya ardhi wa Iran ni mkubwa na…
India na UAE Zasaini Mikataba Mpya ya Ulinzi na Nishati Wakati wa Ziara ya Narendra Modi.
Serikali za India na Falme za Kiarabu (UAE) zimesaini mikataba mipya inayohusu ulinzi na usambazaji wa mafuta ya petroli wakati…
Blinken: Chaguo la kijeshi dhidi ya Iran halikuwa suluhisho boraw
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken, amesema kuwa kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Iran…
Baada ya Trump; Putin kuzuru China wiki ijayo – je China ndiye mkuu mpya?
Rais wa Urusi Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara nchini China wiki ijayo. Hayo yameripotiwa Ijumaa na gazeti la South China…