Skip to content
  • Jtn. Septemba 16th, 2026

Utaridi CI Media

Habari Ndani ya Sayari.

  • KIMATAIFA
  • MASHARIKI YA KATI
  • AFRIKA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
  • KUTUHUSU
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Marekani
  • Masharikiyakati
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe Saudi Yashutumiwa Kuficha Nafasi ya Marekani Katika Kuahirisha Mkutano
MASHARIKI YA KATI

Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah

15/09/2026
KIMATAIFA

Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah

15/09/2026
KIMATAIFA

Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu

15/09/2026
MASHARIKI YA KATI

Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe

15/09/2026
MASHARIKI YA KATI

Saudi Yashutumiwa Kuficha Nafasi ya Marekani Katika Kuahirisha Mkutano

14/09/2026
  • Hivi punde
  • Maarufu
  • Afrika
Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah
MASHARIKI YA KATI
Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah
Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah
KIMATAIFA
Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah
KIMATAIFA
Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu
Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe
MASHARIKI YA KATI
Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe
Ni nani Deogratius John Ndejembi aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya makamu wa rais wa Tanzania?
AFRIKA
Ni nani Deogratius John Ndejembi aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya makamu wa rais wa Tanzania?
Hillary Clinton: Serikali ya Netanyahu Ilishindwa Kuwalinda Waisraeli
KIMATAIFA
Hillary Clinton: Serikali ya Netanyahu Ilishindwa Kuwalinda Waisraeli
Hormuz: Marekani Yaratibu Hatua za Pamoja Kukabiliana na Iran
MASHARIKI YA KATI
Hormuz: Marekani Yaratibu Hatua za Pamoja Kukabiliana na Iran
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
MASHARIKI YA KATI
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
Mudavadi: Wafanyabiashara Wageni Wenye Vibali Watalindwa Kenya
AFRIKA
Mudavadi: Wafanyabiashara Wageni Wenye Vibali Watalindwa Kenya
Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
AFRIKA
Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
Licha ya Pingamizi la Marekani Ramani Inayoakisi Ukubwa Halisi wa Afrika yapitishwa UN
AFRIKA
Licha ya Pingamizi la Marekani Ramani Inayoakisi Ukubwa Halisi wa Afrika yapitishwa UN
UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
AFRIKA
UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
MASHARIKI YA KATI

Wanachama Watatu wa Civil Defense Wauawa Katika Shambulio la Israel Kusini mwa Lebanon

29/04/2026

Civil Defense ya Lebanon imetangaza kuuawa kwa wanachama wake watatu wakati wakifanya operesheni ya uokoaji baada ya shambulio la anga la Israel kugonga jengo katika eneo la Majdal Zoun, wilaya…

KIMATAIFA

Trump amvaa kansela wa Ujerumani baada ya kiongozi huyo kusema Marekani imedhalilishwa na Iran

29/04/2026

Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran. kufuatia kauli hiyo Rais…

MASHARIKI YA KATI

Israel Inafanya “Mauaji ya Mazingira” nchini Lebanon kwa Gharama ya Jumla ya Dola Bilioni 25

29/04/2026

Wizara ya Mazingira ya Lebanon inasema kuwa Israel inafanya “mauaji ya mazingira” kusini mwa Lebanon, kulingana na ripoti mpya inayofafanua uharibifu mkubwa wa ikolojia wakati wa uvamizi wa 2023–2024.Ripoti hiyo…

KIMATAIFA

Marabi (viongozi) wa Kiyahudi wa mrengo wa kisasa nchini Uingereza Waonya kuwa Mwelekeo wa Sasa wa Israel Unaweza Kudhoofisha Maadili na Utambulisho wa Kiyahudi

29/04/2026

Marabi wakuu wa Kiyahudi wa mrengo wa maendeleo nchini Uingereza wameonya kuwa mwelekeo wa sasa wa kisiasa wa Israel unawakilisha tishio kubwa kwa maadili na utambulisho wa Kiyahudi, wakisisitiza kuwa…

KIMATAIFA

Viongozi wa chama cha Trump “Republicans” wamtaka kumaliza vita vya Iran kabla ya uchaguzi

29/04/2026

Washington – Rais wa Marekani, Donald Trump, anafahamu kikamilifu athari za kisiasa ambazo vita vimeleta kwake na kwa chama chake, kwa mujibu wa vyanzo vitatu vinavyofahamu mashauriano ya hivi karibuni…

MASHARIKI YA KATI

“Mwisho wa mgawanyiko”: Bennett na Lapid waungana rasmi kumbwaga Netanyahu

28/04/2026

Waziri wakuu wa zamani wa Israel, Naftali Bennett na Yair Lapid, wametangaza kuunganisha rasmi vyama vyao na kuunda tiketi ya pamoja ya kisiasa itakayojulikana kama “Pamoja – Ikiongozwa na Naftali…

KIMATAIFA

Wanaharakati wanaounga mkono Palestina “ulm 5” wafikishwa mahakamani Ujerumani kwa kesi ya kisiasa

28/04/2026

Wanaharakati watano wanaounga mkono Palestina, wanaojulikana kama “Ulm 5,” wamefikishwa mahakamani nchini Ujerumani kufuatia tukio lililolenga eneo linalohusishwa na Elbit Systems mjini Ulm, ambapo wanatuhumiwa kusababisha uharibifu wa takriban euro…

KIMATAIFA

Rais wa Ufaransa atafuta ushirikiano na Iran kuimarisha usalama Hormuz

28/04/2026

A“Tunafanya kila tuwezalo kuhakikisha kwamba usafiri katika Mlango-Bahari wa Hormuz unarejea katika hali ya kawaida,” alisema kiongozi huyo.

KIMATAIFA

Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, aonya kuhusu vikwazo kwa biashara zinazoshirikiana na mashirika ya ndege ya Iran.

28/04/2026

Gazeti la WSJ linaripoti kuwa Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, ameonya kwamba biashara au watu binafsi wowote wanaojihusisha na mashirika ya ndege ya Iran wako katika hatari ya…

KIMATAIFA

Newsweek: Kiwango cha kutoridhika na Trump chafikia rekodi mpya

28/04/2026

Kiwango cha kutoridhika na utendaji wa Donald Trump kimefikia kiwango cha juu zaidi kulingana na wastani wa matokeo ya kura za maoni zilizoripotiwa na gazeti la New York Times. Takwimu…

Machapisho utaftaji

1 … 62 63 64 65

Utaridi CI Media

Habari Ndani ya Sayari.

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • SERA YA UHARIRI
  • SERA YA MAREKEBISHO
  • FARAGHA
  • WASILIANA NASI
  • MATANGAZO NA USHIRIKIANO