Skip to content
  • Jnn. Septemba 15th, 2026

Utaridi CI Media

Habari Ndani ya Sayari.

  • KIMATAIFA
  • MASHARIKI YA KATI
  • AFRIKA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
  • KUTUHUSU
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Marekani
  • Masharikiyakati
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe Saudi Yashutumiwa Kuficha Nafasi ya Marekani Katika Kuahirisha Mkutano
MASHARIKI YA KATI

Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah

15/09/2026
KIMATAIFA

Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah

15/09/2026
KIMATAIFA

Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu

15/09/2026
MASHARIKI YA KATI

Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe

15/09/2026
MASHARIKI YA KATI

Saudi Yashutumiwa Kuficha Nafasi ya Marekani Katika Kuahirisha Mkutano

14/09/2026
  • Hivi punde
  • Maarufu
  • Afrika
Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah
MASHARIKI YA KATI
Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah
Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah
KIMATAIFA
Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah
KIMATAIFA
Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu
Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe
MASHARIKI YA KATI
Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe
Ni nani Deogratius John Ndejembi aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya makamu wa rais wa Tanzania?
AFRIKA
Ni nani Deogratius John Ndejembi aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya makamu wa rais wa Tanzania?
Hillary Clinton: Serikali ya Netanyahu Ilishindwa Kuwalinda Waisraeli
KIMATAIFA
Hillary Clinton: Serikali ya Netanyahu Ilishindwa Kuwalinda Waisraeli
Hormuz: Marekani Yaratibu Hatua za Pamoja Kukabiliana na Iran
MASHARIKI YA KATI
Hormuz: Marekani Yaratibu Hatua za Pamoja Kukabiliana na Iran
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
MASHARIKI YA KATI
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
Mudavadi: Wafanyabiashara Wageni Wenye Vibali Watalindwa Kenya
AFRIKA
Mudavadi: Wafanyabiashara Wageni Wenye Vibali Watalindwa Kenya
Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
AFRIKA
Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
Licha ya Pingamizi la Marekani Ramani Inayoakisi Ukubwa Halisi wa Afrika yapitishwa UN
AFRIKA
Licha ya Pingamizi la Marekani Ramani Inayoakisi Ukubwa Halisi wa Afrika yapitishwa UN
UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
AFRIKA
UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
KIMATAIFA

Marekani Yakasirishwa na Uchaguzi wa Iran katika Uongozi wa Mkutano wa Nyuklia

28/04/2026

Marekani imeonyesha hasira kufuatia kuchaguliwa kwa Iran kuwa miongoni mwa wajumbe wa meza ya uratibu ya Mkutano wa Mapitio ya Mkataba wa Kutokomeza Silaha za Nyuklia, hatua iliyokuja licha ya…

MASHARIKI YA KATI

Mpango wa Iran Kupitia Pakistan Kusitisha Vita Wawasilishwa, Hakuna Jibu Kutoka Marekani

28/04/2026

Hussein Bak, mwanachama wa timu inayoandamana na ujumbe wa mazungumzo wa Iran, amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Araqchi, amewasilisha mpango kupitia Pakistan unaolenga kusitisha vita dhidi…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Kansela wa Ujerumani: Wairani ni wazi kuwa wana nguvu zaidi kuliko ilivyodhaniwa

28/04/2026

Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, amesema kuwa Iran inaonyesha kuwa na uwezo na nguvu kubwa kuliko inavyokadiriwa mara nyingi na jamii ya kimataifa. Kauli hiyo ilitolewa katika mkutano wa viongozi…

MASHARIKI YA KATI

Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon

27/04/2026

Katibu Mkuu wa Hezb nchini Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amesema kuwa usitishwaji wa mapigano nchini humo usingewezekana bila ushiriki wa Iran katika mazungumzo yaliyofanyika nchini Pakistan. Akizungumza kuhusu mchango wa…

KIMATAIFA

Putin: Nimepokea ujumbe kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Iran

27/04/2026

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa alipokea ujumbe kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki iliyopita.Putin pia alimtakia Kiongozi Mkuu wa Iran afya njema na…

UCHAMBUZI

Ushawishi wa Uzayuni kwenye vyombo vya habari

27/04/2026

Joseph Pulitzer ni mmoja wa waanzilishi mashuhuri wa Kiyahudi wa vyombo vya habari vya kisasa vya Amerika. Alizaliwa katika familia ya Kiyahudi huko nchini Hungaria, na baada ya kuhamia Marekani…

MASHARIKI YA KATI

Mwakilishi wa Marekani: Vita vya Trump dhidi ya Iran ni janga kubwa

27/04/2026

Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jason Crow, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Rais Donald Trump dhidi ya Iran vimekuwa janga kubwa lenye gharama kubwa.Akihoji…

MASHARIKI YA KATI

Trump kufanya mkutano wa dharura kuhusu Iran Jumatano hii

27/04/2026

Rais Donald Trump anatarajiwa kufanya mkutano katika Chumba cha kusimamia migogoro (Situation Room) jijini White House siku ya Jumatatu kuhusu suala la Iran, pamoja na timu yake ya juu ya…

KIMATAIFA

Watangazaji wa Ireland na Hispania wasusia Eurovision baada ya ushiriki wa Israel

27/04/2026

Watangazaji wa umma nchini Ireland na Hispania wametangaza kususia shindano la mwaka huu la Eurovision Song Contest wakipinga ushiriki wa Israel.Shirika la utangazaji la Hispania, RTVE, limethibitisha kuwa halitarusha matangazo…

MASHARIKI YA KATI

Oman na Iran zafanya mazungumzo juu ya usalama wa Hormuz

26/04/2026

Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema kuwa mazungumzo aliyofanya na mwenzake wa Iran kuhusu Mlango wa Hormuz yalikuwa na tija.Ameeleza kuwa kuna umuhimu wa kuimarisha juhudi za kidiplomasia…

Machapisho utaftaji

1 … 63 64 65

Utaridi CI Media

Habari Ndani ya Sayari.

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • SERA YA UHARIRI
  • SERA YA MAREKEBISHO
  • FARAGHA
  • WASILIANA NASI
  • MATANGAZO NA USHIRIKIANO