Mazungumzo ya Simu kati ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Kenyaa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Seyed Abbas Araghchi, leo Jumatano amefanya mazungumzo ya simu na Musalia Mudavadi, Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya…
Afisa wa Iran Mohsen Rezaei aonya Marekani dhidi ya kuanzisha tena vita
Afisa wa Iran, Mohsen Rezaei, alisema kuwa chaguo lenye madhara madogo zaidi kwa Marekani ni kukubali masharti kumi ya Iran. Alionya kwamba ikiwa Marekani itaanza tena vita, itakuwa janga kwa…
USS Gerald R. Ford itaondoka Mashariki ya Kati katika siku zijazo
USS Gerald R. Ford itaondoka Mashariki ya Kati katika siku zijazo. Meli ya kubeba ndege USS Gerald R. Ford inatarajiwa kuondoka Mashariki ya Kati na kuanza kurejea Marekani katika siku…
Ripoti: Sababu za Iran Kutoonyesha Dalili za Kurudi Nyuma
Jarida la Marekani la Foreign Policy limeangazia sababu zinazoeleza kwa nini Iran haijaonyesha dalili za kurudi nyuma licha ya shinikizo la kimataifa.
Kundi la Kiyahudi laingiza maandishi ya Taurati katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa kwa mara ya kwanza, likizua mjadala juu ya hali ya sasa ya eneo hilo
Kundi la Kiyahudi lenye misimamo mikali liliingiza maandishi ya maombi ya Taurati yanayohusishwa na “Hekalu Takatifu” ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa, kwa mara ya kwanza, ikiripotiwa kwa idhini…
Mahakama nchini Afrika Kusini yamtimua mtoto wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe
Mahakama nchini Afrika Kusini yamtimua mtoto wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe
Waziri wa vita Marekani: uvamizi wa Iran umetugharimu dola bilioni 25 mpaka sasa
Pentagon imetangaza kwa mara ya kwanza kuwa vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu takriban dola bilioni 25 hadi sasa.Takwimu za awali zilionyesha kuwa Marekani ilikuwa imetumia takriban dola bilioni…
Trump ashindwa na mchezaji Snuka wa Iran
Hossein Vafaei wa Iran amepata ushindi muhimu baada ya kumshinda Judd Trump, anayeshika nafasi ya kwanza duniani katika mchezo wa snuka. Katika pambano lililodumu kwa raundi tatu, Vafaei alifanikiwa kumtungua…
Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini Zaibua Wasiwasi Mpya kwa Marekani
Nguvu ya Nyuklia Yaongezeka: Korea Kaskazini Yakaribia Kuvunja Kinga ya Marekani
Zelensky aishambulia Israel kwa kununua nafaka “iliyoibwa Ukraine”
Kyiv — Serikali ya Ukraine imemwita balozi wa Israel nchini humo kutoa malalamiko rasmi kuhusu usafirishaji wa nafaka ambayo Ukraine inadai iliibwa kutoka maeneo ya nchi hiyo yaliyo chini ya…