Waziri wa hazina wa Marekani kupitia Fox News: Nini Maana ya ‘Kumaliza Kazi’
Waziri wa Hazina wa Marekani amesema katika mahojiano na Fox News kwamba Marekani inaweka mbele masuala matatu kama kigezo cha “kumaliza kazi” katika mazungumzo yanayohusiana na Iran, huku akirudia madai…
Jeshi la Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Limezindua Hadharani Boti Mpya ya Mashambulizi ya Kasi Yenye Kubeba Makombora.
Tehran — Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limeonesha hadharani boti mpya ya mashambulizi ya kasi yenye silaha za makombora, inayojulikana kwa jina la “27 Rajab.”…
The Guardian: AAFS Yanyemelea Mkataba Mkubwa Bosnia, Undugu na Trump Wahusishwa.
Bosnia na Herzegovina — Uchunguzi uliochapishwa na The Guardian unadai kuwa AAFS Infrastructure and Energy, kampuni isiyojulikana sana inayoripotiwa kuwa na uhusiano na watu wa karibu na Rais wa Marekani…
Sayid Mojtaba Khamenei: Vituo vya Marekani katika eneo ni lazima vifungwe
Tuna nchi kumi na tano jirani, miongoni mwao zipo kwenye nchi kavu na zengine baharini, na tumekuwa tayari kila wakati kuanzisha uhusiano mzuri pamoja na kila nchi, lakini baadhi ya…
Iran YAKATAA MABAVU ya Trump, Hatujafikia mapatano yoyote na Marekani
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Ijumaa kwamba mabadilishano ya ujumbe kati ya Iran na yanaendelea, lakini hadi sasa hakuna mwafaka wa mwisho uliofikiwa huku akisisitiza…
Kauli ya Marekani Baada ya Kenya Kusitisha Ujenzi wa Kituo cha Ebola nchini humo
Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha kwa muda kuanzishwa kituo cha karantini kwa wagonjwa wa Ebola raia wa Marekani, kilichotarajiwa kujengwa nchini humo. Kufuatia uamuzi huo, wakuu wa Marekani wamedai kuwa…
Liverpool Yamtimua Kocha Arne Slot.
Liverpool, Uingereza — Klabu ya Liverpool imethibitisha rasmi kuondoka kwa meneja wake, Arne Slot, kufuatia msimu wa 2025/26 uliomalizika bila kufikia matarajio ya klabu na mashabiki. Slot, raia wa Uholanzi,…
Muungano wa Madaktari Kenya waipa serikali masaa 48, Hatutaki Ebola Kenya
Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo…
Mkasa wa moto Utumishi Girls: Wanafunzi zaidi ya 10 wakamatwa huku uchunguzi ukishika kasi
KENYA– Jeshi la polisi limeanza kuwazuilia wanafunzi zaidi ya 10 wa Shule ya Wasichana ya Utumishi (Utumishi Girls Academy) kwa ajili ya mahojiano, kufuatia mkasa wa kusikitisha wa moto ulioteketeza…
Urusi na Taliban zasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na kiteknolojia
MOSCOW, URUSI – Serikali ya Urusi na utawala wa Taliban nchini Afghanistan zimeingia katika ukurasa mpya wa mahusiano baada ya kutia saini makubaliano rasmi ya ushirikiano katika nyanja za kijeshi…