Antony Blinken, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amesema kuwa hali ya sasa inaonyesha kuwa Iran imepata nafasi ya kutumia nguvu ya ushawishi katika mwelekeo wa mazungumzo na hatua zinazoweza kufuata.
wKwa mujibu wa Blinken, Donald Trump anatafuta njia ya kujinasua, huku akieleza matumaini yake kwamba makubaliano yatafikiwa.
Aidha, aliongeza kuwa Iran sasa inashikilia nyenzo ya shinikizo na inatarajiwa kuitumia kwa manufaa yake katika hatua zijazo.