UN Yapinga Mpango wa Trump wa Kutoza Ada Meli Zinazopita Mlango wa Bahari wa Hormuz
LONDON, Julai 13 – Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia masuala ya usafiri wa baharini (IMO) limepinga mpango uliotangazwa na Rais wa Marekani Donald Trump wa kutoza ada ya asilimia…