Ujerumani Yajibu Mapigo kwa Trump Kuhusu Nato
BERLIN, UJERUMANI – Serikali ya Ujerumani imepinga vikali wito wa rais mteule wa Marekani, Donald Trump, wa kuitaka nchi hiyo kutoa ahadi ya utiifu usio na masharti kwa shirika la…
BERLIN, UJERUMANI – Serikali ya Ujerumani imepinga vikali wito wa rais mteule wa Marekani, Donald Trump, wa kuitaka nchi hiyo kutoa ahadi ya utiifu usio na masharti kwa shirika la…
PARIS, UFARANSA Ufaransa na Ujerumani zimeshindwa kuvunja ukuta wa kutoelewana uliodumu kwa miezi kadhaa kuhusu mradi wao wa pamoja wa kutengeneza ndege za kivita za kisasa (Next-Generation Fighter Jet), hatua…
BERLIN, UJERUMANI – MEI 3, 2026 – Mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Ujerumani umezidi kuongezeka kufuatia tangazo la Washington la kuondoa wanajeshi 5,000 wa Kimarekani kutoka Ujerumani, hatua…
Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kumkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, katika chapisho lake la Truth social akisema kwamba anapaswa kuelekeza juhudi zaidi katika jitihada za kukomesha vita…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran. kufuatia kauli hiyo Rais…
Wanaharakati watano wanaounga mkono Palestina, wanaojulikana kama “Ulm 5,” wamefikishwa mahakamani nchini Ujerumani kufuatia tukio lililolenga eneo linalohusishwa na Elbit Systems mjini Ulm, ambapo wanatuhumiwa kusababisha uharibifu wa takriban euro…
Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, amesema kuwa Iran inaonyesha kuwa na uwezo na nguvu kubwa kuliko inavyokadiriwa mara nyingi na jamii ya kimataifa. Kauli hiyo ilitolewa katika mkutano wa viongozi…