Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi
BAMAKO, MALI – Serikali ya mpito nchini Mali imetoa hukumu nzito ya kifungo cha miaka 20 jela dhidi ya afisa wa ujasusi wa Ufaransa, baada ya kumpata na hatia ya…
BAMAKO, MALI – Serikali ya mpito nchini Mali imetoa hukumu nzito ya kifungo cha miaka 20 jela dhidi ya afisa wa ujasusi wa Ufaransa, baada ya kumpata na hatia ya…
PARIS – Serikali ya Ufaransa imempiga marufuku Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben-Gvir, kuingia katika ardhi ya taifa hilo, kufuatia kile kilichotajwa kuwa ni mienendo isiyokubalika dhidi…
Mgombea wa urais wa Ufaransa Jean‑Luc Mélenchon amesema kuwa migogoro ya sasa ya kimataifa inaweza kuashiria mwisho wa kile alichokiita “karne ya Marekani”. wAkizungumzia nafasi ya Marekani katika mfumo wa…
Mwandishi wa jarida la Kifaransa la Paris Match, Florian Tardif, ametoa madai mapya kuhusu kile alichodai kuwa ni chanzo cha mvutano kati ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe…
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa nchi yake haikuwahi kupanga kupeleka vikosi vya majini katika Mlango wa Hormuz. Badala yake, amesema Ufaransa ilikuwa inapendekeza ujumbe wa usalama wa kidiplomasia…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, ameonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz, akisisitiza kuwa…
Mgombea wa urais wa Ufaransa, Jean-Luc Mélenchon, ametoa matamshi makali kuhusu sera ya mambo ya nje ya Ufaransa, akisema kuwa nchi hiyo inapaswa kujiondoa katika muungano wa kijeshi wa NATO…
Jean-Luc Mélenchon, mgombea wa urais wa Ufaransa, amesema kuwa Israel kwa sasa ndiyo nchi hatari zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Ameieleza Israel kuwa ndiyo inayowashambulia majirani zake, kuchochea…
A“Tunafanya kila tuwezalo kuhakikisha kwamba usafiri katika Mlango-Bahari wa Hormuz unarejea katika hali ya kawaida,” alisema kiongozi huyo.