Wananchi wa Bandar Abbas nchini Iran, Watahadharishwa Dhidi ya Milipuko Mikubwa Leo Jumapili
BANDAR ABBAS, IRAN – Mamlaka katika Mkoa wa Hormozgan imetoa tahadhari kwa wakazi wa mji wa Bandar Abbas kufuatia mipango ya kufanya milipuko iliyodhibitiwa katika maeneo mbalimbali ya mji huo…