Iran Yasisitiza Kuiunga Mkono Hezbollah, Yadai Usitishaji Vita Lebanon Katika Makubaliano Yoyote ya Amani.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Seyed Abbas Araghchi, amewasilisha ujumbe maalum kwa Katibu Mkuu…
90 waaga dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kwenye mgodi China
TAKRIBAN watu 90 walifariki kufuatia mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe kaskazini mwa China, kulingana na vyombo vya habari…
Ufaransa Yampiga Marufuku Waziri wa Usalama wa Israel Kuingia Nchini Humo
PARIS – Serikali ya Ufaransa imempiga marufuku Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben-Gvir, kuingia katika ardhi ya…
Urusi Yatumia Makombora ya Oreshnik Katika Mashambulizi Mapya Nchini Ukraine.
Katika mashambulizi makali yaliyoshuhudiwa usiku wa leo, picha na mikanda ya video iliyotolewa inathibitisha kuwa Urusi imetumia kombora la balestiki…
Tumeishiwa Silaha, Iran Inashinda Vita,” Akiri Mbunge wa Marekani
WASHINGTON, MAREKANI – Katika kauli inayoibua mjadala mzito, Mwakilishi wa Bunge la Marekani (Congress), Raja Krishnamoorthi, ametoa onyo kali kuhusu…
Rasimu ya Mkataba wa Amani Yafichuka: Iran Kunufaika na Mabilioni Huku Marekani Ikilegeza Kamba
Ripoti mpya kutoka shirika la habari la Al Jazeera zinaeleza kuwa rasimu ya makubaliano ya amani kuhusu Iran imependekeza hatua…