Newsweek: Kiwango cha kutoridhika na Trump chafikia rekodi mpya
Kiwango cha kutoridhika na utendaji wa Donald Trump kimefikia kiwango cha juu zaidi kulingana na wastani wa matokeo ya kura za maoni zilizoripotiwa na gazeti la New York Times. Takwimu…
Kiwango cha kutoridhika na utendaji wa Donald Trump kimefikia kiwango cha juu zaidi kulingana na wastani wa matokeo ya kura za maoni zilizoripotiwa na gazeti la New York Times. Takwimu…
Marekani imeonyesha hasira kufuatia kuchaguliwa kwa Iran kuwa miongoni mwa wajumbe wa meza ya uratibu ya Mkutano wa Mapitio ya Mkataba wa Kutokomeza Silaha za Nyuklia, hatua iliyokuja licha ya…
Hussein Bak, mwanachama wa timu inayoandamana na ujumbe wa mazungumzo wa Iran, amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Araqchi, amewasilisha mpango kupitia Pakistan unaolenga kusitisha vita dhidi…
Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, amesema kuwa Iran inaonyesha kuwa na uwezo na nguvu kubwa kuliko inavyokadiriwa mara nyingi na jamii ya kimataifa. Kauli hiyo ilitolewa katika mkutano wa viongozi…
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa alipokea ujumbe kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki iliyopita.Putin pia alimtakia Kiongozi Mkuu wa Iran afya njema na…
Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jason Crow, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Rais Donald Trump dhidi ya Iran vimekuwa janga kubwa lenye gharama kubwa.Akihoji…
Rais Donald Trump anatarajiwa kufanya mkutano katika Chumba cha kusimamia migogoro (Situation Room) jijini White House siku ya Jumatatu kuhusu suala la Iran, pamoja na timu yake ya juu ya…
Watangazaji wa umma nchini Ireland na Hispania wametangaza kususia shindano la mwaka huu la Eurovision Song Contest wakipinga ushiriki wa Israel.Shirika la utangazaji la Hispania, RTVE, limethibitisha kuwa halitarusha matangazo…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema kuwa mazungumzo aliyofanya na mwenzake wa Iran kuhusu Mlango wa Hormuz yalikuwa na tija.Ameeleza kuwa kuna umuhimu wa kuimarisha juhudi za kidiplomasia…
Kenya na Uganda ziko kwenye mazungumzo ya kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta nchini Tanzania ili kupunguza utegemezi wa bidhaa za petroli zinazoagizwa kutoka nje, na kuhudumia nchi zinazozalisha mafuta ndani…