Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini Zaibua Wasiwasi Mpya kwa Marekani
Nguvu ya Nyuklia Yaongezeka: Korea Kaskazini Yakaribia Kuvunja Kinga ya Marekani
Nguvu ya Nyuklia Yaongezeka: Korea Kaskazini Yakaribia Kuvunja Kinga ya Marekani
Kyiv — Serikali ya Ukraine imemwita balozi wa Israel nchini humo kutoa malalamiko rasmi kuhusu usafirishaji wa nafaka ambayo Ukraine inadai iliibwa kutoka maeneo ya nchi hiyo yaliyo chini ya…
Civil Defense ya Lebanon imetangaza kuuawa kwa wanachama wake watatu wakati wakifanya operesheni ya uokoaji baada ya shambulio la anga la Israel kugonga jengo katika eneo la Majdal Zoun, wilaya…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran. kufuatia kauli hiyo Rais…
Wizara ya Mazingira ya Lebanon inasema kuwa Israel inafanya “mauaji ya mazingira” kusini mwa Lebanon, kulingana na ripoti mpya inayofafanua uharibifu mkubwa wa ikolojia wakati wa uvamizi wa 2023–2024.Ripoti hiyo…
Marabi wakuu wa Kiyahudi wa mrengo wa maendeleo nchini Uingereza wameonya kuwa mwelekeo wa sasa wa kisiasa wa Israel unawakilisha tishio kubwa kwa maadili na utambulisho wa Kiyahudi, wakisisitiza kuwa…
Waziri wakuu wa zamani wa Israel, Naftali Bennett na Yair Lapid, wametangaza kuunganisha rasmi vyama vyao na kuunda tiketi ya pamoja ya kisiasa itakayojulikana kama “Pamoja – Ikiongozwa na Naftali…
Wanaharakati watano wanaounga mkono Palestina, wanaojulikana kama “Ulm 5,” wamefikishwa mahakamani nchini Ujerumani kufuatia tukio lililolenga eneo linalohusishwa na Elbit Systems mjini Ulm, ambapo wanatuhumiwa kusababisha uharibifu wa takriban euro…
A“Tunafanya kila tuwezalo kuhakikisha kwamba usafiri katika Mlango-Bahari wa Hormuz unarejea katika hali ya kawaida,” alisema kiongozi huyo.
Gazeti la WSJ linaripoti kuwa Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, ameonya kwamba biashara au watu binafsi wowote wanaojihusisha na mashirika ya ndege ya Iran wako katika hatari ya…