Ordoga alalama nchi yake kufungiwa mlango wa kujiunga na Umoja wa nchi za Ulaya
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, ametangaza wazi kuwa azma ya nchi yake kujiunga na Umoja wa Ulaya (EU) si kipaumbele kikuu cha sera za kigeni za Ankara kwa sasa,…
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, ametangaza wazi kuwa azma ya nchi yake kujiunga na Umoja wa Ulaya (EU) si kipaumbele kikuu cha sera za kigeni za Ankara kwa sasa,…
Mtu mmoja amepoteza maisha na wengine wanne kujeruhiwa vibaya kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya mabomu yaliyolenga makazi ya wanasiasa watatu wa chama tawala cha New Democracy katika mji wa Thessaloniki,…
BRUSSELS/BERLIN — Soko la magari barani Ulaya linashuhudia mabadiliko makubwa kufuatia wimbi la magari yanayotoka nchini Uchina, ambayo sasa yanateka sehemu kubwa ya soko hilo kuliko wakati mwingine wowote. Kulingana…
VIENNA, AUSTRIA – Shinikizo dhidi ya viongozi wenye msimamo mkali nchini Israel limezidi kupamba moto barani Ulaya baada ya nchi ya Austria kutangaza kuunga mkono pendekezo la kupigwa marufuku kwa…
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia zimetangaza kuwa ziko tayari kuondoa baadhi ya vikwazo vinavyohusiana na Iran iwapo Tehran itachukua hatua zilizo wazi na zinazoweza kuthibitishwa kuhusu mpango wake wa nyuklia.…
LONDON, Uingereza – Kwa mara ya kwanza, serikali ya Uingereza imefanya operesheni ya kuizuia meli ya mafuta inayohusishwa na kile kinachoitwa “msafara wa kivuli” (shadow fleet) wa Urusi, tukio ambalo…
PARIS, UFARANSA Ufaransa na Ujerumani zimeshindwa kuvunja ukuta wa kutoelewana uliodumu kwa miezi kadhaa kuhusu mradi wao wa pamoja wa kutengeneza ndege za kivita za kisasa (Next-Generation Fighter Jet), hatua…
PARIS – Serikali ya Ufaransa imempiga marufuku Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben-Gvir, kuingia katika ardhi ya taifa hilo, kufuatia kile kilichotajwa kuwa ni mienendo isiyokubalika dhidi…
BRUSSELS/TEHRAN – Umoja wa Ulaya (EU) leo umetangaza uamuzi wa kupanua mfumo wake wa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Hatua hii imetajwa na upande wa Iran kama…
Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, utawala wa Rais Donald Trump unapanga kupunguza kiwango cha uwezo wa kijeshi ambacho Marekani ingetoa kusaidia washirika wake wa Ulaya katika tukio…