China na Pakistan Zatoa Wito kwa Marekani na Iran Kusitisha Vita na Kurejea Mazungumzo
SHANGHAI, CHINA – China na Pakistan zimetoa wito kwa Marekani na Iran kusitisha mapigano mara moja na kurejea kwenye meza ya mazungumzo, zikionya kuwa kuendelea kwa mzozo huo kunatishia amani…