Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewafukuza kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha. Waziri wa Fedha alikuwa amehudumu katika wadhifa huo chini ya wiki mbili. Hatua hiyo ni…
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewafukuza kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha. Waziri wa Fedha alikuwa amehudumu katika wadhifa huo chini ya wiki mbili. Hatua hiyo ni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza…
Rais FĂ©lix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezungumzia uwezekano wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu, akisema atakubali kuendelea kuiongoza nchi hiyo iwapo ataungwa mkono na…
Serikali ya Kenya imetoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, pamoja na wananchi wa Tanzania kwa mapokezi ya kipekee na ukarimu waliouonyesha wakati wa…
Wimbi jipya la mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni, linalowalenga wahamiaji wa Kiafrika na biashara zao huko Afrika Kusini linatishia kuteteresha uhusiano wa nchi hiyo na nchi nyingine za Afrika.Katika…
Serikali ya Sudan imezituhumu Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Ethiopia kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani (drones) lililolenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum, msemaji…
Mfalme Mohammed VI wa Morocco amemteua Mrithi wa Kiti cha Ufalme, Mwanamfalme Moulay El Hassan (22), kushika wadhifa wa juu wa uratibu wa kijeshi ndani ya Vikosi vya Ulinzi vya…
Katika nchi nyingi za Afrika, taarifa zinaonyesha kuwa raia wa kawaida wanashawishiwa na Urusi kwenda kupigana katika vita vya Ukraine. Hata hivyo, hali nchini Kameruni inaonekana kuwa ya kipekee kwa…
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, amelaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa madai ya kuwaunga mkono waasi wa AFC/M23 mashariki mwa Kongo na kuvitaja…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Seyed Abbas Araghchi, leo Jumatano amefanya mazungumzo ya simu na Musalia Mudavadi, Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya…