Iran yakana tuhuma za mashambulizi UAE yasema sio kawaida yake kuficha mapigo
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al‑Anbiya amesema kuwa Iran itatoa “jibu kali na la kuangamiza” iwapo hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo itafanywa kutoka ardhi ya Umoja…