Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatakiwa kutekeleza masharti ya eda, huku majukumu ya lazima yakiruhusiwa katika mazingira ya dharura.
Habari Ndani ya Sayari.
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatakiwa kutekeleza masharti ya eda, huku majukumu ya lazima yakiruhusiwa katika mazingira ya dharura.