CNN: Tathmini ya kijasusi ya Marekani inaonesha kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, licha ya kujeruhiwa, bado anaendelea kuamua mikakati ya nchi kwa siri.
Mtandao wa CNN umeripoti kuwa tathmini ya kijasusi ya Marekani inaonyesha kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu bado anaendelea kuelekeza mikakati ya Iran licha ya kuripotiwa kujeruhiwa. Kwa mujibu wa…