Mufti wa Oman: Umma wa Kiislamu Umekumbwa na Fitina Kubwa
Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed Al-Khalili, ameonya kuhusu “fitina kubwa” inayoukabili Umma wa Kiislamu huku mapigano yakizuka tena Yemen.
Habari Ndani ya Sayari.
Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed Al-Khalili, ameonya kuhusu “fitina kubwa” inayoukabili Umma wa Kiislamu huku mapigano yakizuka tena Yemen.