UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupigia kura azimio linalohimiza matumizi ya ramani zinazoonyesha kwa usahihi zaidi ukubwa wa Afrika na mabara mengine.
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupigia kura azimio linalohimiza matumizi ya ramani zinazoonyesha kwa usahihi zaidi ukubwa wa Afrika na mabara mengine.
Afisa wa zamani wa White House ameitaka Marekani kujiandaa kwa upelelezi, operesheni za kimtandao na hata hatua za kijeshi iwapo China itakaribia kuitangulia katika kufikia AGI.